issac77
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 2,948
- 4,715
miezi kadhaa iliyopita nilinunua king'muzi cha zuku nilikitumia yapata miezi 2 baadae sikuridhishwa na huduma zao. Nilivyoolizia badaadhi ya watu wangu wa karibu wakanambia "naweza nunua decorder ya king'amuzi chochote nikatoa kile cha zuku mambo yakaendelea ilihali dish ni la zuku".
Kweli nikanunua startimes decorder nikafunga (dish zuku, decoder startimes) huduma za startimes nikaendelea kuangalia kama kawaida.
Sasa cha ajabu nina miezi mitatu naangalia tena bure kabsa bila kukatiwa channel yoyote na zipo zaidi ya channel 70+ zikiwemo za kihidi. Hivi jamani hili linawezekana kweli? Au ni ofa tu nimepewa?
KARIBUNI
Kweli nikanunua startimes decorder nikafunga (dish zuku, decoder startimes) huduma za startimes nikaendelea kuangalia kama kawaida.
Sasa cha ajabu nina miezi mitatu naangalia tena bure kabsa bila kukatiwa channel yoyote na zipo zaidi ya channel 70+ zikiwemo za kihidi. Hivi jamani hili linawezekana kweli? Au ni ofa tu nimepewa?
KARIBUNI