TUKUTUKU
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 11,765
- 4,033
He haka kabinti ndo kamekua hivi, ama kweli hata mbuyu ulianza kama mchicha. Sasa tazama wakati kadogo tulikuwa tunakaita mchumba, jaribu leo ukatwe makofi na Alikiba.
Kibiashara kamelipa
Kisiasa, kamuone JK kiti maaluma anacho
Kidini - Shetwani Mkubwa
Mkuu hapo penye nyekundu,unaonekana una habari kubwa!tujuze zaidi mkuu!!