Jamani Hiki kitoto vipi, Ndiyo vazi gani hili?

Status
Not open for further replies.
Tatizo lipo,hawezi kuwa na watu wazima kama hao yeye akavaa uchi.Huo si usupastaa ni ushamba tu wa hicho kitoto.Ni kama hakina wazazi,kinajiachia kitakavyo.Under 18?
 
Kupendeza kapendeza kwa standard za kimodern na kakaa uchi kwa standards za kizamani

Kwapa ni no-no kwa standards zote mbili :)
 
12.+MASHABIKI.JPG

Yaani kako bomba amependeza saana. waaoooh! hongera kwa anaemsaidia huyu mtoto na kako kimodel kweli kweli
 
Tatizo lipo,hawezi kuwa na watu wazima kama hao yeye akavaa uchi.Huo si usupastaa ni ushamba tu wa hicho kitoto.Ni kama hakina wazazi,kinajiachia kitakavyo.Under 18?

Tatizo siyo yeye ila usupastaa wake na udaku usiyo na maana. mpiga picha angepiga na wengine waliokuwa hapo ndani uone walivyo vaaa, uche kumsakama mtoto wa watu. Kuna waliovaaa vibaya zaidi kuliko yeye tena pia ni bongo stars lakini wameachwa
 
Huyo ni mtoto, jamii ina wajibu wa kumsaidia ASP. Watu walio karibu nae wampe counselling
 
He haka kabinti ndo kamekua hivi, ama kweli hata mbuyu ulianza kama mchicha. Sasa tazama wakati kadogo tulikuwa tunakaita mchumba, jaribu leo ukatwe makofi na Alikiba.
Kibiashara kamelipa
Kisiasa, kamuone JK kiti maaluma anacho
Kidini - Shetwani Mkubwa
 
sio katoto hako ni kajitu kazima jaribu kuangalia makwapa yameshakomaa na kana manyonyo ya kutosha hata kulea mapacha. Mtoto ni yule hasiye na uwezo wa kubeba mimba lakini hako breki kende
 
All in All she is still a child hujaona aliyoyafanya juzi kwenye magazeti ya udaku pale leaders kwenye bonanza?nyie mnaosifia mtafurahi watoto wenu wakivaa hivyo?au wakimegwa kila kona?acheni kupotosha jamii nyie
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom