Mtumishi Mkuu
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 259
- 92
Wakuu heshima yenu! Juzi jumamos nilishindwa kuamini masikio yangu pale shoprite mliman city. Huwa nina mazoea ya kununua baadhi ya bidhaa za nyumbani pale ikiwemo sukari. Cha kushangaza juzi nimeenda kama kawaida nikachukua pakiti 10 za sukari kila moja ikiwa ni 1 kg. Wakati ninaenda kulipia nikashangaa yule mhudumu ananiambia kuwa siruhusiwi kununua zaidi ya kilo 3 na hata waeweka matangazo. Nilishikwa butwaa ila ndio hivyo. Nadhani watanzania tunaelekea kubaya sasa.