Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Hakuna dawa hapo labda kama unaleta stori za kishigongo!!! Kwanza ushirikina ni haramu sana, halafu tena umuingilie kinyume na maumbile mkeo?
Yaani stori imenichefua sana mpaka nashindwa kuandika vizuri lakini ukweli hakuna ouvu kama kumuingilia kinyume mkeo au hata mwanaume mwenzako!!!!
Kama unajua kuna kufa basi usijaribu kabisa ujinga huo na huyo mwanamke aende akampime mwanae ngoma labda kaathirika halafu anahangaika bure.
Mkuu kwani unadhani hii story ni ya kweli? Ni ya kufikirika tu!