Mrimi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,691
- 633
Binafsi mimi ni mpenzi mkubwa wa TV zilizo chini ya IPP.Lakini pamoja na hivyo,hii Capital TV kiukweli(kwa mtazamo wangu) sijaona kama imejipanga kukidhi matarajio ya watazamaji wake.
Binafsi nilitarajia iwe TV maalum yenye vipindi vya kuonesha:
- Documentaries motomoto
- International News and Events mbali mbali,polical,sciantific,na matukio yenye kuvuta hisia za watazamaji
- Sports-Live event,news updates.
- Entertainments mbalimbali kama Movies kali,music za uhakika nk.
Lakini hii imekuwa tafauti kabisa na matarajia yangu.Sifurahishwi na kuoneshwa marudio ya mechi ya finali za kombe la dunia 1998 mpaka leo,tena mechi moja tu.Au marudio ya ligi ya South America ya miaka ya 90.Siamini kama IPP wanashindwa kurusha hata mechi moja ya Serie A kwa wiki.Basi wangekuwa hata wanatuonesha replay ya ligi mbali mbali angalau basi kwa wakati unaofaa.
Haiwezekani tukiingia youtube tunaangalia documentaries za uhakika,halafu kituo kikubwa cha TV kama hiki kiwe kinatuonesha documentary moja hiyo hiyo kila siku.Haiwezekani kuwa tunaoneshwa tv series za kikorea na philipines tu kila siku.Ukiangalia movies ndio kichekesho,movies za kizamani tuu,movie za hihindi ndio usiseme,movie moja inarudiwa rudiwa mpaka basi..
Siami kama wanashindwa kuwa na vipindi vingi vya midala kama ilivyo kwa CH.10(Jen.on Monday,Je Tutafika),StarTV(Jecho letu ndani ya habari) nk. nk. nk. Mimi ninaamini hii ni tv pekee ambayo ikiwekwa vizuri inaweza ikaleta mtazamo mpya miongoni mwa vituo vya TV hapa nchini.Binafsi siamini kama mnashindwa kufanya hivyo,bali hamna nia ya kutupatia kitu kipya.
Mpaka sasa sina hakika kama walishawahi kufanya utafiti wakajua TV hii inatazamwa na watazamaji wa wangapi,wa rika lipi au jinsia ipi.Kiukweli ktk hili,Capital TV mnahitaji kujitazama upya.
Binafsi nilitarajia iwe TV maalum yenye vipindi vya kuonesha:
- Documentaries motomoto
- International News and Events mbali mbali,polical,sciantific,na matukio yenye kuvuta hisia za watazamaji
- Sports-Live event,news updates.
- Entertainments mbalimbali kama Movies kali,music za uhakika nk.
Lakini hii imekuwa tafauti kabisa na matarajia yangu.Sifurahishwi na kuoneshwa marudio ya mechi ya finali za kombe la dunia 1998 mpaka leo,tena mechi moja tu.Au marudio ya ligi ya South America ya miaka ya 90.Siamini kama IPP wanashindwa kurusha hata mechi moja ya Serie A kwa wiki.Basi wangekuwa hata wanatuonesha replay ya ligi mbali mbali angalau basi kwa wakati unaofaa.
Haiwezekani tukiingia youtube tunaangalia documentaries za uhakika,halafu kituo kikubwa cha TV kama hiki kiwe kinatuonesha documentary moja hiyo hiyo kila siku.Haiwezekani kuwa tunaoneshwa tv series za kikorea na philipines tu kila siku.Ukiangalia movies ndio kichekesho,movies za kizamani tuu,movie za hihindi ndio usiseme,movie moja inarudiwa rudiwa mpaka basi..
Siami kama wanashindwa kuwa na vipindi vingi vya midala kama ilivyo kwa CH.10(Jen.on Monday,Je Tutafika),StarTV(Jecho letu ndani ya habari) nk. nk. nk. Mimi ninaamini hii ni tv pekee ambayo ikiwekwa vizuri inaweza ikaleta mtazamo mpya miongoni mwa vituo vya TV hapa nchini.Binafsi siamini kama mnashindwa kufanya hivyo,bali hamna nia ya kutupatia kitu kipya.
Mpaka sasa sina hakika kama walishawahi kufanya utafiti wakajua TV hii inatazamwa na watazamaji wa wangapi,wa rika lipi au jinsia ipi.Kiukweli ktk hili,Capital TV mnahitaji kujitazama upya.