Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,844
Watoto wa sasa hawaogopi kitu.yaani anakuletea ukimbie mwenyewe
...dah, umri umekwenda sana, ndio maana tunakimbilia kuhukumu
Niki recall nilipokuwa na 16yrs old miaka hiyooo
shule ya Bweni, tena mikoani....
Tabia walizokuwa nazo wanafunzi, hakuna cha usasa wa zamani.
Hata mabinti wa shule niliyosoma walikuwa wanajirusha na walimu na 'madingi.'
Uzuri wa miaka ile ya "Siasa za ujamaa na kujitegemea,"watu walikuwa bado na woga
wa kusemewa kwa wazazi wao...
Pia, Kizazi kile wanafunzi walikuwa wanaogopa Mimba na kufukuzwa shule,
Tofauti na miaka hii ya Dot.com.
What do you recall, ulipokuwa na umri wa miaka 16?