Jamani hebu sikieni nilichokiona leo - Bosi na Binti wa 16yo

" dada babu kaniambia nikusubirie ofisini kwake ufike uniprintie Fomu ya Registration ya mtihani wa Form Four"

LD......that is really sad. Lakini however much we blame these men, lets not forget kwamba TAMAA ndio inayowaponza hawa watoto!
She is aware that ur boss is almost like her babu yet she feels no shame in doing what you saw her doing with him!

Ni kweli Nemo, ndio maana, nataka niangalie upepo unakwenda vipi, ndo hata nikapigie haka kabinti,
Manake kanaweza kuwa kanajua kuliko hata mimi, kakanichambua kama karanga lol!!
 
" dada babu kaniambia nikusubirie ofisini kwake ufike uniprintie Fomu ya Registration ya mtihani wa Form Four"

LD......that is really sad. Lakini however much we blame these men, lets not forget kwamba TAMAA ndio inayowaponza hawa watoto!
She is aware that ur boss is almost like her babu yet she feels no shame in doing what you saw her doing with him!

At least you didn't pass the buck....
 
Pole sana, lakini usi generalise tabia ya bosi wako kwa kila mtu! lakini pia wewe kwanini uache funguo kwa Bosi ilhali unaofisi tofauti, na kwa nini unaingia bila kukaribishwa...au wewe ni G********D wa bosi-kama sivo uoni unatabia mbaya..unatafuta nini kwake? unadai binti akakukimbilia..ilichukua muda gani? usimwonee kabinti wivu..najua amekatiza "ukanda wako wa Gaza"..inauma eeeeeeeeeeeeeeeeeeh:juggle:

Leo asubuhi kama kawaida yangu niwewahi kwenye kibarua changu, kujitafutia mkate wa kila siku.
Sasa nina kawaida ya kuchukua ufunguo wa chumba changu cha ofisi kwa boss wangu.
Kama kawaida mimi nikaenda nikagonga chumba cha ofisi ya Boss, nikaingia, kuingia nikakuta kabinti ka sekondari form 4 ndani ya ofisi, na kabosi kametulia juu yake.
Nikaona aibu nikatoka nje, kale kabinti kakamchomoka bosi, kakanifuata kananiambia dada babu kaniambia nikusubirie ofisini kwake ufike uniprintie Fomu ya Registration ya mtihani wa Form Four. Nikamuuliza una miaka mingapi akaniambia miaka 16.

Sasa babu zangu mlioko huku kulikoni jamani?
Kwa nini lakini wanaume mnakuwa hivi?
Basi hata kama ni tamaa si mkawachukue hao ambao wapo tayari kwa hiyo kazi?
Mbona mwatuharibia watoto wetu?
 
LD ukiangalia upande mwingine wa shilingi hawa watoto wetu siku hizi wamecharuka
wanatamaa, wanapenda vitu vya juu kuliko uwezo,ndo mana nao wanakubali
sasa kwa kuwa vibabu vinaona hao watoto wako weak ndo hapohapo wanapata mwanya wa kuwarubuni
wakipewa simu, vihela kidogo mtoto kaingia line
mi naona pande zote mbili zina makosa

kuna kisa nilikishuhudia mimi machozi yalitoka
mtoto wa darasa la 6 alikuwa anaishi kwenye kituo cha yatima kumbe ni muathirika
jibaba na tamaa zake akamtongoza na mtoto kwa tamaa ya pesa akamkubali
sasa pata picha yule baba akidhani mtoto mbichi si ameukwaa tayari na kamuambukiza mkewe na huwezi jua kama ana mwanamke mwingine zaidi ya huyo mtoto.JE TUTAFIKA??wababu jamani wababu haa!
 
Kwa kweli kaka, kababu ka huku sijaongea na wala hajathubutu kukutana na uso wangu.
Naona atanitafutia kosa hilo ndo litafungua mlango wa kuongea na mimi.

Hata hivyo najiona bora nisingemuona manake, dah!!!
Haka kabinti bwana, sijakauliza sana, manake kalikuwa kamepaniki vibaya, nikakaacha tu kakaondoka.
Ila nimechukua namba yake ya simu, niangalie upepo unakwenda je kwanza halafu nitamtaufuta niongee naye.
KUWA MAKINI USIJE UKATEMESHWA MZIGO!!
Kwa makadirio huyo babu ana kama mvua ngapi, maana isije kuwa ana 26 ...hiyo ni age ambayo hata kama ameoa, hashikiki!
 

Najaribu kuvuta hisia nani kaanzisha move......hofu yangu ni binti kuwa ndio muasisi na babu kucheza ngoma ya binti maana mabinti wa siku hizi duh, wakina fataki sometimes tunawaonea......
maana kuna binti aliwahi kumuambia mzee wa watu "we huniambii kitu maana nimebeba wenye mashine zaidi yako?" sasa hapo tena!!
 
Leo asubuhi kama kawaida yangu niwewahi kwenye kibarua changu, kujitafutia mkate wa kila siku.
Sasa nina kawaida ya kuchukua ufunguo wa chumba changu cha ofisi kwa boss wangu.
Kama kawaida mimi nikaenda nikagonga chumba cha ofisi ya Boss, nikaingia, kuingia nikakuta kabinti ka sekondari form 4 ndani ya ofisi, na kabosi kametulia juu yake.
Nikaona aibu nikatoka nje, kale kabinti kakamchomoka bosi, kakanifuata kananiambia dada babu kaniambia nikusubirie ofisini kwake ufike uniprintie Fomu ya Registration ya mtihani wa Form Four. Nikamuuliza una miaka mingapi akaniambia miaka 16.

Sasa babu zangu mlioko huku kulikoni jamani?
Kwa nini lakini wanaume mnakuwa hivi?
Basi hata kama ni tamaa si mkawachukue hao ambao wapo tayari kwa hiyo kazi?
Mbona mwatuharibia watoto wetu?

Bosi wako akitembelea humu umekwisha!!!!
 
Kwa kweli kaka, kababu ka huku sijaongea na wala hajathubutu kukutana na uso wangu.
Naona atanitafutia kosa hilo ndo litafungua mlango wa kuongea na mimi.

Hata hivyo najiona bora nisingemuona manake, dah!!!
Haka kabinti bwana, sijakauliza sana, manake kalikuwa kamepaniki vibaya, nikakaacha tu kakaondoka.
Ila nimechukua namba yake ya simu, niangalie upepo unakwenda je kwanza halafu nitamtaufuta niongee naye.

Ndg yangu ukishangaa ya Musa..... Huyo ndo boc unaemheshimu, akimwona binti yako wewe mfanyakazi wake anampiia mahesabu. Kama ofc ni yake binafsi chunga kibarua chako, ila kama wote mmeajiriwa na JMT, kula nae sahan moja. Imenikera sana, watoto wetu wa kike wanateseka sana. Huyo Babu ni Mbwa tena ni Takataka, anadhubutu kumtaka binti wa 16yrs. Hebu nipe ufafanuzi kidogo, umesema ulikua anafanya nini wakati unafungua mlango? Weka wazi nikuelewe sawasawa mtu wangu.
 
Watu wameshajenga dhana ya kwamba wanaume tu ndo wa kulaumiwa kwenye mambo haya wakati hivyo visichana na vyenyewe vinafanya kwa hiari yao!!

Ingekuwa msichana kabakwa kwa kutumia maguvu hapo lawama zingemwendea "babu" peke yake. Lakini wote wawili wana screw kwa hiari halafu anayetupiwa lawama ni mmoja tu ni retarded!!!!!
 
Huyo ni mbakaji si ungemuitia TAMWA tu au unaogopa kibarua?

Wala kibarua siogopi, manake tunaishi kwa Neema ujue!!!
Ila haraka haraka hivyo isingewezekana, inawezekana hata huyo binti mwenyewe labda anaona ni sawa.
So inahitaji muda kwanza, wakujua vizuri hapa.
 
Utakuta zee kubwaaa kitambi kule anataka wasichana wadogowadogo hizi zipo sana maofisini
 
Wala kibarua siogopi, manake tunaishi kwa Neema ujue!!!
Ila haraka haraka hivyo isingewezekana, inawezekana hata huyo binti mwenyewe labda anaona ni sawa.
So inahitaji muda kwanza, wakujua vizuri hapa.




LD mama naona ulifika mbali kumdhania binti sivyo,pale babu si alikuwa anakagua tu,au siku hizi wababu wanapitiliza ukaguzi wao?
 
Pole sana, lakini usi generalise tabia ya bosi wako kwa kila mtu! lakini pia wewe kwanini uache funguo kwa Bosi ilhali unaofisi tofauti, na kwa nini unaingia bila kukaribishwa...au wewe ni G********D wa bosi-kama sivo uoni unatabia mbaya..unatafuta nini kwake? unadai binti akakukimbilia..ilichukua muda gani? usimwonee kabinti wivu..najua amekatiza "ukanda wako wa Gaza"..inauma eeeeeeeeeeeeeeeeeeh:juggle:

Asante mwaya, kwa mchango wako mzuri.
Ubarikiwe!!!
 
Watu wameshajenga dhana ya kwamba wanaume tu ndo wa kulaumiwa kwenye mambo haya wakati hivyo visichana na vyenyewe vinafanya kwa hiari yao!!

Ingekuwa msichana kabakwa kwa kutumia maguvu hapo lawama zingemwendea "babu" peke yake. Lakini wote wawili wana screw kwa hiari halafu anayetupiwa lawama ni mmoja tu ni retarded!!!!!

Unajua kwa nini mi nawalaumu wanaume hasa kwa kesi hii,
Uwezo wa kufikiria kwa mtu mzima kama huyu, ni mkubwa kuliko, huyo mtoto wa miaka 16.
Ilibidi haka katoto kamheshimu na kumuogopa, kama babu yake, lakini ona sasa,
anaona kitu ambacho hakupaswa kukiona kwa babu yake.
 
Inakera ila ndio hivo tena wazee wamechachawa sana eti wanataka damu mbichi utakuta ni rafiki ya mtoto wake huyo. embu babu yetu wa humu atuambie wanakumbwaga na nini
 
LD mama naona ulifika mbali kumdhania binti sivyo,pale babu si alikuwa anakagua tu,au siku hizi wababu wanapitiliza ukaguzi wao?

Mmmmh alikuwa anakagua kweli?
Dah!!! Unajua ni bora nisingeona kuliko nilivyoona, manake naona,
aibu imenirudia mimi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom