" dada babu kaniambia nikusubirie ofisini kwake ufike uniprintie Fomu ya Registration ya mtihani wa Form Four"
LD......that is really sad. Lakini however much we blame these men, lets not forget kwamba TAMAA ndio inayowaponza hawa watoto!
She is aware that ur boss is almost like her babu yet she feels no shame in doing what you saw her doing with him!
" dada babu kaniambia nikusubirie ofisini kwake ufike uniprintie Fomu ya Registration ya mtihani wa Form Four"
LD......that is really sad. Lakini however much we blame these men, lets not forget kwamba TAMAA ndio inayowaponza hawa watoto!
She is aware that ur boss is almost like her babu yet she feels no shame in doing what you saw her doing with him!
Leo asubuhi kama kawaida yangu niwewahi kwenye kibarua changu, kujitafutia mkate wa kila siku.
Sasa nina kawaida ya kuchukua ufunguo wa chumba changu cha ofisi kwa boss wangu.
Kama kawaida mimi nikaenda nikagonga chumba cha ofisi ya Boss, nikaingia, kuingia nikakuta kabinti ka sekondari form 4 ndani ya ofisi, na kabosi kametulia juu yake.
Nikaona aibu nikatoka nje, kale kabinti kakamchomoka bosi, kakanifuata kananiambia dada babu kaniambia nikusubirie ofisini kwake ufike uniprintie Fomu ya Registration ya mtihani wa Form Four. Nikamuuliza una miaka mingapi akaniambia miaka 16.
Sasa babu zangu mlioko huku kulikoni jamani?
Kwa nini lakini wanaume mnakuwa hivi?
Basi hata kama ni tamaa si mkawachukue hao ambao wapo tayari kwa hiyo kazi?
Mbona mwatuharibia watoto wetu?
signature yangu hiyo nashukuru kwa kuni-copyrightKuna signature moja ya mwanajamii mmoja hapa ilikuwa inasomeka hivi,"Kama tunatakiwa kufanya mapenzi baada ya ndoa kwanini tunabalehe kabla ya ndoa".
KUWA MAKINI USIJE UKATEMESHWA MZIGO!!Kwa kweli kaka, kababu ka huku sijaongea na wala hajathubutu kukutana na uso wangu.
Naona atanitafutia kosa hilo ndo litafungua mlango wa kuongea na mimi.
Hata hivyo najiona bora nisingemuona manake, dah!!!
Haka kabinti bwana, sijakauliza sana, manake kalikuwa kamepaniki vibaya, nikakaacha tu kakaondoka.
Ila nimechukua namba yake ya simu, niangalie upepo unakwenda je kwanza halafu nitamtaufuta niongee naye.
Leo asubuhi kama kawaida yangu niwewahi kwenye kibarua changu, kujitafutia mkate wa kila siku.
Sasa nina kawaida ya kuchukua ufunguo wa chumba changu cha ofisi kwa boss wangu.
Kama kawaida mimi nikaenda nikagonga chumba cha ofisi ya Boss, nikaingia, kuingia nikakuta kabinti ka sekondari form 4 ndani ya ofisi, na kabosi kametulia juu yake.
Nikaona aibu nikatoka nje, kale kabinti kakamchomoka bosi, kakanifuata kananiambia dada babu kaniambia nikusubirie ofisini kwake ufike uniprintie Fomu ya Registration ya mtihani wa Form Four. Nikamuuliza una miaka mingapi akaniambia miaka 16.
Sasa babu zangu mlioko huku kulikoni jamani?
Kwa nini lakini wanaume mnakuwa hivi?
Basi hata kama ni tamaa si mkawachukue hao ambao wapo tayari kwa hiyo kazi?
Mbona mwatuharibia watoto wetu?
Kwa kweli kaka, kababu ka huku sijaongea na wala hajathubutu kukutana na uso wangu.
Naona atanitafutia kosa hilo ndo litafungua mlango wa kuongea na mimi.
Hata hivyo najiona bora nisingemuona manake, dah!!!
Haka kabinti bwana, sijakauliza sana, manake kalikuwa kamepaniki vibaya, nikakaacha tu kakaondoka.
Ila nimechukua namba yake ya simu, niangalie upepo unakwenda je kwanza halafu nitamtaufuta niongee naye.
Huyo ni mbakaji si ungemuitia TAMWA tu au unaogopa kibarua?
signature yangu hiyo nashukuru kwa kuni-copyright
Wala kibarua siogopi, manake tunaishi kwa Neema ujue!!!
Ila haraka haraka hivyo isingewezekana, inawezekana hata huyo binti mwenyewe labda anaona ni sawa.
So inahitaji muda kwanza, wakujua vizuri hapa.
Pole sana, lakini usi generalise tabia ya bosi wako kwa kila mtu! lakini pia wewe kwanini uache funguo kwa Bosi ilhali unaofisi tofauti, na kwa nini unaingia bila kukaribishwa...au wewe ni G********D wa bosi-kama sivo uoni unatabia mbaya..unatafuta nini kwake? unadai binti akakukimbilia..ilichukua muda gani? usimwonee kabinti wivu..najua amekatiza "ukanda wako wa Gaza"..inauma eeeeeeeeeeeeeeeeeeh:juggle:
Watu wameshajenga dhana ya kwamba wanaume tu ndo wa kulaumiwa kwenye mambo haya wakati hivyo visichana na vyenyewe vinafanya kwa hiari yao!!
Ingekuwa msichana kabakwa kwa kutumia maguvu hapo lawama zingemwendea "babu" peke yake. Lakini wote wawili wana screw kwa hiari halafu anayetupiwa lawama ni mmoja tu ni retarded!!!!!
LD mama naona ulifika mbali kumdhania binti sivyo,pale babu si alikuwa anakagua tu,au siku hizi wababu wanapitiliza ukaguzi wao?