Ninawaheshimu sana kwa kujua sheria na kutoa hukumu za haki kukiacha akina Lugakingira and team.
1. Catherine Oriyo
2. Mlay
Kizazi cha majaji waliopo kwa sasa ni changamoto sana, sina uhakika sana ila kama hao uliowataja ni wastaafu kwa sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app