Jamani hawa majaji wako wapi?

Retired

JF-Expert Member
Jul 22, 2016
40,304
73,846
Ninawaheshimu sana kwa kujua sheria na kutoa hukumu za haki kukiacha akina Lugakingira and team.
1. Catherine Oriyo
2. Mlay
 
Kizazi cha majaji waliopo kwa sasa ni changamoto sana, sina uhakika sana ila kama hao uliowataja ni wastaafu kwa sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ukifuatilia trend za majaji utaona wale waliostaafu na kupewa nyazifa tena serikalini walikuwa na hukumu zilizowahi kuingia kwenye "Guinessbook" na wale waliong'ang'ania unyererenyerere tupo nao shamba huku na wengine walishatangulia kwa amani kabisa
 
Back
Top Bottom