makubaliano aliyoingia rais wetu na kusaini mikataba 17 ndo matokeo yake...nasikia crdb wamefungua benki ya watu wa china ndani ya crdb ivo unaweza ukaweka ela za kichina na kutoa, ivo lazima crdb wawatafte wazoefu wa kichina ili iwe rahisi ktk kutoa huduma kwa wachina....nadhani ni lazima wawe na wachina benki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.