Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Taarifa ya mali za CCM inaonesha ubadhilifu mkubwa wa mali za chama hiki kikongwe hapa nchini. Wananchi wameipa CCM ridhaa ya kuongoza nchi hii tangu uhuru (tangu uhuru kwani CCM ni zao la TANU na ASP).
Je, kwa tabia hii mbaya iliyodhihirishwa na taarifa yao wenyewe, kweli mali zetu sisi wananchi zipo salama kweli?
Kwa habari zaidi fuata hiki kiunganisho Ripoti mali za CCM yabaini wizi, utapeli
Je, kwa tabia hii mbaya iliyodhihirishwa na taarifa yao wenyewe, kweli mali zetu sisi wananchi zipo salama kweli?
Kwa habari zaidi fuata hiki kiunganisho Ripoti mali za CCM yabaini wizi, utapeli