Kwani Magu anasemaje huko motoni.Ninasikia Mwànza Hali ni tete Sana. Mwenye taarifa atujuze.
Bottomline ni kuwa tuchukue tahadhali ya Hali ya juu Sana. As long as hatuna takwimu Alert level iwe 9/10
Hahahaha🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwani Magu anasemaje huko motoni.
Corona ikiingia kwa nguvu tunayoambiwa hakutakuwa na haja hata ya lockdown.
Tutajipanga wenyewe bila hata kulazimishwa.
Kwa sasa tusitishane tuacheni tuendelee na maisha yetu ya kubangaiza kila siku.
HII NI VITA TUTAPAMBANA NAYO MPAKA PUMZI YA MWISHO, WATAKAOKUFA NA WAFE WATAKABAKI WATABAKI KAMA MASHAIDI KWA VIZAZI VIJAVYO.
I second youCorona ikiingia kwa nguvu tunayoambiwa hakutakuwa na haja hata ya lockdown.
Tutajipanga wenyewe bila hata kulazimishwa.
Kwa sasa tusitishane tuacheni tuendelee na maisha yetu ya kubangaiza kila siku.
HII NI VITA TUTAPAMBANA NAYO MPAKA PUMZI YA MWISHO, WATAKAOKUFA NA WAFE WATAKABAKI WATABAKI KAMA MASHAIDI KWA VIZAZI VIJAVYO.
Exactly, nami Nina taarifa hizo kutoka Bugando. Tunawapa poleNimetumiwa taarifa ya kifo sasa hivi kuna daktari amefariki Bugando jioni ya leo, na mkewe pia amefariki.
Sijui kama ni ile ya Uganda ndio imeshaingia nchini kwetu.
Agent wa shetani ni wewe unayeendeleza ushenzi. Wa JiweAGENT WA SHETANI WAPO KAZINI, WANAANZA KUTIA HOFU WANANCHI. KILA MCHA MUNGU WA KWELI ANAJUA HAYA KAZI ILIYOBAKIA NI KUKEMEA MAPEPO HAYA YANAYOSAMBAZA HABARI ZA KIPEPO..
Unaweza ukijikinga na barakoa ukagongwa na gari ukafa.Kwamba hamna haja ya tahadhari?
"WATAKAOKUFA NA WAFE WATAKABAKI WATABAKI KAMA MASHAIDI KWA VIZAZI VIJAVYO."
Roho ngumu na nadra kabisa binadamu kuwa nayo. Mko wachache kabisa mkuu bila kumsahau yule bwana.
Wamesema wamefariki kwa nini?Exactly, nami Nina taarifa hizo kutoka Bugando. Tunawapa pole
Kauli mbaya na roho ya kishetani hujui kesho ya wanaokuhusu itakuwaje.acha wafu wazike wafu wao
Kwani tunaongelea niniWamesema wamefariki kwa nini?
Ingekuwa ni tete, wala usingeuweka uzi huu kwa kuulizaJàmani Hali ya Corona nchini ikoje? Nasikia Hali ni tete
unakazwa kweli mkuu.Agent wa shetani ni wewe unayeendeleza ushenzi. Wa Jiwe
Kwamba mmesikia daktari amefariki 😂😂Kwani tunaongelea nini