Tunaomba waziri wa uchukuzi kuwa malori yote yanayotumia barabara ya Mandera kwenda mikoani wakati jioni yaruhusiwe kuanzia saa4 usiku ili kupisha madaladala kusafirisha abiria kwa haraka, maana shida kubwa ya msongamano wa abiria vituoni ni kutokana na mabasi mengi kukatisha route zake wakati wa kuanzia jioni saa11 kutokana na foleni, mfano leo jioni yaa12.30 foleni ya ubungo ilitokea tabata relini.