Mbona kuna thread iliyorushwa hapa kwamba mzee Mwandosya anaendelea vizuri? Nafikiri sasa ni muda muafaka kwa msemaji wa wizara kutoa tamko rasmi la hali ya Mzee Mwandosya.
Mwndosya mbona kahojiwa na ITV from India Taarifa ya Habari saa Mbili leo tarehe 08/10/2011)? Amesema amepata maendeleo makubwa katika afya yake na wote wanaomwombea afe bado wana muda mrefu wa kungoja!! Atarejea muda si mrefu toka sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.