KIOO
JF-Expert Member
- Mar 3, 2013
- 6,154
- 5,680
Kwanza heshima kwenu wakuu.
Well, hebu naomba kujuzwa kuhusu huo ukweli hapo juu wakuu.
Kuna mtu namdai ila ameniambia mpaka jana walikuwa hawajaingiziwa mshahara nikashangaa sana nikasema let me ask if this is true.
Najua wadau mpo humu naomba mnisaidie kufahamu kama ni kweli hilo suala au tayari mmeshaingiziwa tayari.
Nawasilisha.
Well, hebu naomba kujuzwa kuhusu huo ukweli hapo juu wakuu.
Kuna mtu namdai ila ameniambia mpaka jana walikuwa hawajaingiziwa mshahara nikashangaa sana nikasema let me ask if this is true.
Najua wadau mpo humu naomba mnisaidie kufahamu kama ni kweli hilo suala au tayari mmeshaingiziwa tayari.
Nawasilisha.