Jamani Eeeh

Pearl

JF-Expert Member
Nov 25, 2009
3,036
309
jamani natumahi wale woteeeeeeeee tunaokutana leo nimewapigia cm kuwa reming plz kama kuna ambaye nimemsahau na ame ni PM no yake plz anikumbushe,mm binadam tena mwenye mapungufu meeeeeeeeeeeeengi,tusameheane.
 
jamani natumahi wale woteeeeeeeee tunaokutana leo nimewapigia cm kuwa reming plz kama kuna ambaye nimemsahau na ame ni PM no yake plz anikumbushe,mm binadam tena mwenye mapungufu meeeeeeeeeeeeengi,tusameheane.

Kuna nini hapa?
 
Kuna nini hapa?

Ivi Kwann isiwe sisi?
Pearl
user_online.gif
Yesterday, 10:02 AM
Kwakeli nimependa sana wazo la kuchangia wahang,lkn kwanini sisi kama wana JF tusikutane leo jioni japo tuanze na mchango wa elfu 5 tu kwa kila mwanachama maana kutoa ni moyo tena ikumbukwe leo ni wao na kesho ni sisi,ni mtazamo wangu tu sijui mna maoni gani wenzangu.
 
jamani natumahi wale woteeeeeeeee tunaokutana leo nimewapigia cm kuwa reming plz kama kuna ambaye nimemsahau na ame ni PM no yake plz anikumbushe,mm binadam tena mwenye mapungufu meeeeeeeeeeeeengi,tusameheane.

Mambo Sawa Sawa
 
Kuna nini hapa?
makange
mchemsho wa kuku na ng'ombe
chipsi mayai chipsi kavu
mabomu
kokoto
mbuzi chima
mbuzi foil
ng'ombe foil
mchemsho samaki
n.k

caunta kama kawaida:
local bia zote
kuna whiski zote
na wine
 
Ivi Kwann isiwe sisi?
Pearl
user_online.gif
Yesterday, 10:02 AM
Kwakeli nimependa sana wazo la kuchangia wahang,lkn kwanini sisi kama wana JF tusikutane leo jioni japo tuanze na mchango wa elfu 5 tu kwa kila mwanachama maana kutoa ni moyo tena ikumbukwe leo ni wao na kesho ni sisi,ni mtazamo wangu tu sijui mna maoni gani wenzangu.

Kwa hiyo ndio kimeeleweka siyo?
 
I like that!
makange
mchemsho wa kuku na ng'ombe
chipsi mayai chipsi kavu
mabomu
kokoto
mbuzi chima
mbuzi foil
ng'ombe foil
mchemsho samaki
n.k

caunta kama kawaida:
local bia zote
kuna whiski zote
na wine
 
makange
mchemsho wa kuku na ng'ombe
chipsi mayai chipsi kavu
mabomu
kokoto
mbuzi chima
mbuzi foil
ng'ombe foil
mchemsho samaki
n.k

caunta kama kawaida:
local bia zote
kuna whiski zote
na wine
asee unakumbuka hii kitu pale sinza kwa remmy???
balaa, nyama lainiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hata kibogoyo au mtoto mchanga anatafuna!!!.
 
Back
Top Bottom