Wataalamu,
E-mail yangu ya yahoo imekuwa compromised, na ina information na data zangu za muhimu sana, siwezi kuiaccess tena. naombeni msaada wenu jamani
Nimefanya yote kama mlivyonielekeza, ila zile security questions na alternative email nimezisahau kwani nilifunguliwa na mtu toka 2004.
anyone with more alternative to restore my email account, it is very important to me, thank you in advance.
Hakuna la ziada zaidi ya hilo, fungua nyingine badilisha email kwenye service zengine ambazo ulijiandikisha na hiyo email, badili password zako, wataarifu watu kuwa email imeibiwa.
Nimefanya yote kama mlivyonielekeza, ila zile security questions na alternative email nimezisahau kwani nilifunguliwa na mtu toka 2004.
anyone with more alternative to restore my email account, it is very important to me, thank you in advance.
kwa namna hii hata yahoo wenyewe si watakuona na wewe ni mwizi?...security question hukumbuki...na majibu yake hukumbuki...!!then what...fungua mpya hakuna msaada.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.