Jamani brela wanaboa

Nilifanya application tarehe 18 mchana saa 7 tarehe 19 saa 12 asubh certificate ikawa tayari
Screenshot_20190321-145946.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao ndo BRELA bhana,
Ni kitega uchumi cha watu, nimeandikisha jina la biashara naambiwa nitoe Tsh 30,000/= ili nishughulikiwe haraka. Unaongea na mtu yeyeto mwenye kitambulisho au wale walinzi wao GEMA security. Au kuna mtu anaitwa Teacher unapata certificate baada ya siku mbili.

Lyandembela1

Nawasilisha
Mbona hizi taratibu unafanya mwenyewe tena online na pesa unalipa hta kwa simu. Nimefanya mimi January sikutoa hata senti kwa hao watu, zaidi tu nilienda wanielekeze sehemu baada ya kukwama na nikamaliza kila kitu baada ya hapo.

Kwa kifupi nilichokiona pale maana kuna siku nilikuta wadau wanamshinikiza yule mfanyakazi wa pale awafanyie mchakato wa kujaza jamaa akawa anakataa anasema sio utaratibu waliopewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao wanachaji elfu 50 kutaka kujua kama jina la kampuni limeshatumika au la.. eeeeh elfu 22 kusechi tu. Ni majanga
 
Unapeleka nyaraka zinakaguliwa unazndikiwa ukalipie bank ! Baada ya kulipia na kukata risiti unapeleka nyaraka na hapo ndo utakoma maana utaambiwa njoo baadaya siku saba ukienda utaambiea kesho kutwa hapo utazunhushwa hata mwezi then unarudishiwa nyaraka zako eti umekosea kaanze upya ! Jirekebisheni ama tuwataje humu!
Tz bado sana walisema Brela sasa ni digital lakini hata kwa hard copy bado hawajaweza.
 
Unapeleka nyaraka zinakaguliwa unazndikiwa ukalipie bank ! Baada ya kulipia na kukata risiti unapeleka nyaraka na hapo ndo utakoma maana utaambiwa njoo baadaya siku saba ukienda utaambiea kesho kutwa hapo utazunhushwa hata mwezi then unarudishiwa nyaraka zako eti umekosea kaanze upya ! Jirekebisheni ama tuwataje humu!
Wataje, hapa kazi tu washughulikiwe mapema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom