Arushaone
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 15,134
- 13,253
Namaanisha hivyo wala sina ficho hakyamungu!!! Maneno yananiisha mie mtoto wa RCHUGA, labda waje hapa sweetlady, Mzee wa Rula, LiverpoolFC, na marejesho wanisaidie kutoa ushahidi. Ngoja nirudi zangu Arusha ila sina ugomvi na Filipo.
Last edited by a moderator: