Kuna kijana anaitwa Humphrey Polepole anaitetea serikali kwa njia ya mzunguko. Anasema si wajibu wa serikali kutoa ajira na Makampuni makubwa ya ndege duniani si ya serikali.
Naamuenzi Baba wa Taifa kwa kucheza bao.
kila la kheri.
msimshangae huyu kijana kwani toka enzi akisoma Azania alikuwa akiwachongea wanafunzi kwa walimu, ni tabia yake , na vitamasha vya kuwakilisha vijana ndivyo vinampa vijisenti vya kuweza kudhani amepata kushibisha tumbo,,,
siko kwenye TV lakini kama kasema hayo basi
hayuko TZ. Hajui kinachoendelea. Hajui siasa. Hajui maana ya serikari. Hajui katiba inasemaje.
siko kwenye TV lakini kama kasema hayo basi
hayuko TZ. Hajui kinachoendelea. Hajui siasa. Hajui maana ya serikari. Hajui katiba inasemaje.