Autorun
JF-Expert Member
- Mar 21, 2008
- 557
- 116
umeamua kuwa mganga wa jadi toka ufipani?
Inaitwaje hyo
umeamua kuwa mganga wa jadi toka ufipani?
wadau hebu mumuulize mbona kwake yalimshinda kuapply hiyo dawa?????
mi nataka kuna dogo mmoja huyu namkumbuka kumbuka
jina nalihifadhi kwa manufaa ya umma.
hizi ndizo dawa alizowekewa wns na mdada fulani jina namuhifadhi. baada ya kuonewa huruma ndo akaachiwa. HUO NDIO USHUHUDA WA MUHUSIKA ALIYEFANYIWA VITENDO HIVYO. . . . .
kama uamini nikugeuze hapo kwenye avatar yako iangalie huku,sema sooo! uone cha motoNdo yale ya mganga anamtajirisha mtu wakati yeye mwenyewe hata baiskeli kashindwa kununua
Wapi cousin ebu njoo huku nikunongoneze
umeamua kuwa mganga wa jadi toka ufipani?
Inaitwaje hyo
hizo zote ni hazard
Duuh nataka kujua eiza ume"minimaiz au ume""maximaiz hizo chupa??
Nicas Mtei huyu wakati ndio sasa nadhani ni mjasiriamali tu.