Hili ni jukwaa la siasa mkuu.
Anyway hiyo habari ipo kule kwenye jukwaa la Celebrities.
Ucjali mkuu rejea kule cerebrities forum, huko wameshainyaka toka longi.kunatetesi kuwa alikiba amepata ajali mikumi morogoro.kama kuna mtu anahabari kamili naomba atusaidie
kuna umuhimu wa Mods kuwapa watu tutorials za kutumia hili jukwaa na iwe lazima
@Ndibalema, point of correction...... hili si jukwaa la siasa bali ni la 'habari mchanganyiko' kwahiyo hata hiyo ya Ali Kiba yaweza kuwepo humu pia....