Lkn jua kua Waliitoa kwa wana ccm wakadhihilisha wakina Mwakyembe..and wengineo kumbe sababu ilikua ni Uwaziri mkuu..kwasababu maamuzi yote yalitoka juu..IPO, ile iliyosomwa na CDM mwembeyanga.
ShameReport halali ya mwembe yanga inamtambua lowassa kama PELE wa ufisadi Tanzania
Report ya Richmond inamtambua lowassa kama gwiji la ufisadi Tanzania,
Report ya maendeleo ya jamii maji Na malazi Bora inamtambua lowassa kama Icon ya ufisadi Tanzania,
Report ya makazi Na majenzi inaonesha lowassa kama Nguli wa ufisadi Tanzania,
Unataka report gani?
Anataka ripoti ya serikali kutkakatika kamati zake za uchunguziIPO, ile iliyosomwa na CDM mwembeyanga.
Ile ni ya mla mihogo wa Canada. Anataka ya tume za uchunguzi za serikali
Kama ni halali kwa nn asishughulikiwe?IPO, ile iliyosomwa na CDM mwembeyanga.
IPO, ile iliyosomwa na CDM mwembeyanga.
Sijasikia wala kuona hata kusoma popote ripoti za mafisadi imemtaja lowassa maana huyu mtu amekua mtaji(reference) mkubwa sana kwa wanasiasa wanaposema habari za ufisadi ndani na nje ya vyama vyote katika kutafuta uongozi
Hizo Report zinatosha kuthibitisha huyo ni fisadi. Isipokuwa ana kinga ya uwaziri mkuu yeye na Mr Ziro.Report halali ya mwembe yanga inamtambua lowassa kama PELE wa ufisadi Tanzania
Report ya Richmond inamtambua lowassa kama gwiji la ufisadi Tanzania,
Report ya maendeleo ya jamii maji Na malazi Bora inamtambua lowassa kama Icon ya ufisadi Tanzania,
Report ya makazi Na majenzi inaonesha lowassa kama Nguli wa ufisadi Tanzania,
Unataka report gani?
Akimaliza ya madini anaunda ya miundo mbinu, Barbara na Nyumba za Serikali.....lazima ripoti ikabidhiwe live on tv.Lowassa hajawahi kushiriki wala kujihusisha na sekta ya madini, na hadi sasa Mh.Rais ameunda kamati za sekta ya madini tu
Inawezekana lakin naulizia ya serikali maana huyu mtu alikua wazir mkuu kipindi hichomkuu njoo uwajibu wadau huku, eti wanasema CDM wanayo na waliisoma mwembe Yanga, una taarifa?
Sijasikia wala kuona hata kusoma popote ripoti za mafisadi imemtaja lowassa maana huyu mtu amekua mtaji(reference) mkubwa sana kwa wanasiasa wanaposema habari za ufisadi ndani na nje ya vyama vyote katika kutafuta uongozi
Hata alipohamia cdm ufisadi ilikua ndo kauli ya kwanza unapomsema lowassaIPO, ile iliyosomwa na CDM mwembeyanga.