<br /><img src="http://img88.imageshack.us/img88/8899/49080828.jpg" border="0" alt="" /> <img src="http://img88.imageshack.us/img88/2069/83613946.jpg" border="0" alt="" /><br />
<br />
mkuu imeonyesha screen gani' A au B?
<br />mkuu unaitaji kuiflash kisha uijailbraik mwisho uitoe lock kisha utumie kama unaweza nikupe full step ufanye mwenyewe?
Then ipo locked, either uliRestore firmware kupitia Itunes au mtu mwingine alifanya hivyo,,, unachotakiwa hapo ni kuJailbreak na kisha kuUnlock',,!<br />
<br />
Sceen A mkubwa
<br />Then ipo locked, either uliRestore firmware kupitia Itunes au mtu mwingine alifanya hivyo,,, unachotakiwa hapo ni kuJailbreak na kisha kuUnlock',,!
mkuu fuatilia hii thread vizuri yapo maelezo yote kuhusu kujailbreak na ku unlock iphone........<br />
<br />
Itakuwa njema zaidi ukinielekeza jinc ya ku jailbreak nakuunlock