jaman naomben mnishauri bila kunijibu vbaya naomba tena sana. mimi ninatatizo ya kukojoa pindi tu ninapoingiza uume wangu kwenye uke wa mwanamke pale nnapofanya tendo la ndoa. nmejitahid kufanya taratibutaratibu tendo hilo ila tatizo lko palepale. hadi mpenz wangu ameniambia endapo litaendelea itabid aniache kwa sababu simridhishi nami nampenda sana mpenzi wangu nisaidien