Jaman naomba kujuzwa jambo juu ya mwenyekiti wetu mbowe

Northern empire

JF-Expert Member
Nov 14, 2019
358
459
Habari za asubuh ndugu zangu kunakitu tunabishana na mtu hapa yeye anasema eti mwenyekiti wangu mbowe alipata four alipokuwa form six ila mimi nimempinga Kwan mwenyekiti wangu hauwezi kupata hizo namwambia walau angesema alipata two.. Sasa nimeamua kuwauliza waliokaribu nae ivi alipata daraja (division) ipi form six.. Naomba msaada maana hapa leo nimebanwa niwape matokeo yake..
 
Asubuh hii mme amka kubishana hamna kazi za kufanya?
Habari za asubuh ndugu zangu kunakitu tunabishana na mtu hapa yeye anasema eti mwenyekiti wangu mbowe alipata four alipokuwa form six ila mimi nimempinga Kwan mwenyekiti wangu hauwezi kupata hizo namwambia walau angesema alipata two.. Sasa nimeamua kuwauliza waliokaribu nae ivi alipata daraja (division) ipi form six.. Naomba msaada maana hapa leo nimebanwa niwape matokeo yake..
 
Wewe ni Lumumba au CHADEMA ASILIA?
Mi CHADEMA asilia huyu tunabishana nae yeye ni lumumba sasa ananisumbua saana jaman embu nipeni ukweli maana kila napopita ananisumbua na mimi nimuhamasishaji wa Chama Sasa hadi watu wanasubir niwape matokeo yake.. Naomba msaada kama unayafaham
 
Habari za asubuh ndugu zangu kunakitu tunabishana na mtu hapa yeye anasema eti mwenyekiti wangu mbowe alipata four alipokuwa form six ila mimi nimempinga Kwan mwenyekiti wangu hauwezi kupata hizo namwambia walau angesema alipata two.. Sasa nimeamua kuwauliza waliokaribu nae ivi alipata daraja (division) ipi form six.. Naomba msaada maana hapa leo nimebanwa niwape matokeo yake..
Tuanzie kwako wewe, una kiwango gani cha elimu?
 
Tatizo letu tunadhani uongozi ni lazima uwe na wingi wa madigrii.
Hawa vibaka wa chakubanga ni wapumbavu sana.
IMG-20191117-WA0001.jpeg
 
Habari za asubuh ndugu zangu kunakitu tunabishana na mtu hapa yeye anasema eti mwenyekiti wangu mbowe alipata four alipokuwa form six ila mimi nimempinga Kwan mwenyekiti wangu hauwezi kupata hizo namwambia walau angesema alipata two.. Sasa nimeamua kuwauliza waliokaribu nae ivi alipata daraja (division) ipi form six.. Naomba msaada maana hapa leo nimebanwa niwape matokeo yake..
Baba yako alipata ngapi?
 




 
Habari za asubuh ndugu zangu kunakitu tunabishana na mtu hapa yeye anasema eti mwenyekiti wangu mbowe alipata four alipokuwa form six ila mimi nimempinga Kwan mwenyekiti wangu hauwezi kupata hizo namwambia walau angesema alipata two.. Sasa nimeamua kuwauliza waliokaribu nae ivi alipata daraja (division) ipi form six.. Naomba msaada maana hapa leo nimebanwa niwape matokeo yake..
Unadhani hiyo four au two inasaidia nini ktk maisha ya mtaani? Watu kibao walikuwa vichwa darasani sasa hivi choka mbaya.
 
Sio div four alipata zero...

Bill Gates hana hata equivalent ya hicho cheti cha form IV (I hope mlishawahi kulisikia hilo jina na angalau linamaanisha nini).

Mlishawahi kusikia brand inaitwa Protea Cottages? Ni worldwide brand - Mbowe mwenye division zero ya form six ya Tanzania ni franchisee wa Protea.

Nendeni Lumumba mkajikusanye wooote kabisa muombe msaada wa kueleweshwa nilichokiandika hapa maana nina uhakika 110% kuwa 99.9% ya ccm yote hii ya jiwe hamtaambulia chochote hapo.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom