Northern empire
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 358
- 459
Habari za asubuh ndugu zangu kunakitu tunabishana na mtu hapa yeye anasema eti mwenyekiti wangu mbowe alipata four alipokuwa form six ila mimi nimempinga Kwan mwenyekiti wangu hauwezi kupata hizo namwambia walau angesema alipata two.. Sasa nimeamua kuwauliza waliokaribu nae ivi alipata daraja (division) ipi form six.. Naomba msaada maana hapa leo nimebanwa niwape matokeo yake..