barahuzi ni mtanzania tena mwananchi mzawa alieonyesha uwezo kuliko maprofessional waliopita yanga wakina MWAPE na mwenzie ASAMOHAH.....BALAHUZI kawafunika.mwenye hoja tofauti na mimi atiririke hapa......
asante kaka nilidhani si mtanzania manaake jamaa ni noma basi pale mbele kwenye timu ya taifa itakuwa fresh akicheza na samatta na ngasa au mnasemaje wakuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.