Jaman, hivi hii nchi iko serious kweli??ebu oneni haya:

mwmbeki

Member
Apr 8, 2017
91
124
Salaam kwenu wapendwa,

Kila napopata wazo, na kila jambo linaponikera au kunifurahisha napenda kuwashirikisha wana JF ili kupata mchango wao.

Leo lililonikera na kunipelekea kuandika Uzi huu ni IDARA YA NISHATI NA MADINI.

Kwa mkoa wa Arusha umeme umekata takribani wiki mbili sasa,sijui mikoa mingine .unakatwa sa 1 au sa 2 asubuhi unarudishwa sa 1 au sa 2 hadi sa 3 usiku.

Ndugu zangu unapokata umeme mjue shughuli nying za kiuchumi zinakwama..mfano saloon,ice cream,uchomeleaji,ufundi wa aina mbalimbali,n.k hii inapelekea hasara kubwa ktk uchumi na kuwaweka wananchi katika hali ngumu kimaisha,ukiangalia na hali ya sasa iluvyo ngumu hadi inatoa harufu ka uozo.

Kibaya zaidi ni pale mtu anapokuwa amekodisha chumba cha biashara,anataka ale,anywe,na alipe kodi ya chumba,mwenye chumba hutamwambia sikufanya kazi sababu ya umeme af akuelewe.

Wanasema eti wanatengeneza nguzo,Mimi najiuliza ina maana hizo nguzo zinaoza au zinaharibika kila mwezi au kila baada ya wiki 2?? maana tangu mekuwa sijawahi kuona umeme unawaka mwezi mzima mfululizo,na sina huakika ka Tanzania ilishawasha umeme mwezi mzima bila kukatka tangu kuzaliwa kwake.

Mimi nauliza hivi hii iko serious kweli,au wanafakiri tunakula maneno ya siasa?

Mawazo yenu Tafadhali.
 
Nishati ya umeme ni nguzo muhimu kW maendeleo ya Tanzania ya viwanda...ila kwa umeme wa kata kata huo itachukua muda sana kufika tunapotaka...
 
salaam kwenu wapendwa.
kila napopata wazo, na kila jambo linaponikera au kunifurahisha napenda kuwashirikisha wana jf ili kupata mchango wao.
Leo lililonikera na kunipelekea kuandika Uzi huu ni IDARA YA NISHATI NA MADINI.
kwa mkoa wa arusha umeme umekata takribani wiki mbili sasa,sijui mikoa mingine .unakatwa sa 1 au sa 2 asubuhi unarudishwa sa 1 au sa 2 hadi sa 3 usiku..
Ndugu zangu unapokata umeme mjue shughuli nying za kiuchumi zinakwama..mfano saloon,ice cream,uchomeleaji,ufundi wa aina mbalimbali,n.k hii inapelekea hasara kubwa ktk uchumi na kuwaweka wananchi katika hali ngumu kimaisha,ukiangalia na hali ya sasa iluvyo ngumu hadi inatoa harufu ka uozo.
kibaya zaidi ni pale mtu anapokuwa amekodisha chumba cha biashara,anataka ale,anywe,na alipe kodi ya chumba,mwenye chumba hutamwambia sikufanya kazi sababu ya umeme af akuelewe.
wanasema eti wanatengeneza nguzo,Mimi najiuliza ina maana hizo nguzo zinaoza au zinaharibika kila mwezi au kila baada ya wiki 2?? maana tangu mekuwa sijawahi kuona umeme unawaka mwezi mzima mfululizo,na sina huakika ka Tanzania ilishawasha umeme mwezi mzima bila kukatka tangu kuzaliwa kwake..
Mimi nauliza hivi hii iko serious kweli,au wanafakiri tunakula maneno ya siasa??
mawazo yenu Tafadhali.
Wewe ulitaka namba isomeke vipi?
 
kanda ya kaskazini tuvumilie tu lazima tuisome namba siunajua huku ✌
 
salaam kwenu wapendwa.
kila napopata wazo, na kila jambo linaponikera au kunifurahisha napenda kuwashirikisha wana jf ili kupata mchango wao.
Leo lililonikera na kunipelekea kuandika Uzi huu ni IDARA YA NISHATI NA MADINI.
kwa mkoa wa arusha umeme umekata takribani wiki mbili sasa,sijui mikoa mingine .unakatwa sa 1 au sa 2 asubuhi unarudishwa sa 1 au sa 2 hadi sa 3 usiku..
Ndugu zangu unapokata umeme mjue shughuli nying za kiuchumi zinakwama..mfano saloon,ice cream,uchomeleaji,ufundi wa aina mbalimbali,n.k hii inapelekea hasara kubwa ktk uchumi na kuwaweka wananchi katika hali ngumu kimaisha,ukiangalia na hali ya sasa iluvyo ngumu hadi inatoa harufu ka uozo.
kibaya zaidi ni pale mtu anapokuwa amekodisha chumba cha biashara,anataka ale,anywe,na alipe kodi ya chumba,mwenye chumba hutamwambia sikufanya kazi sababu ya umeme af akuelewe.
wanasema eti wanatengeneza nguzo,Mimi najiuliza ina maana hizo nguzo zinaoza au zinaharibika kila mwezi au kila baada ya wiki 2?? maana tangu mekuwa sijawahi kuona umeme unawaka mwezi mzima mfululizo,na sina huakika ka Tanzania ilishawasha umeme mwezi mzima bila kukatka tangu kuzaliwa kwake..
Mimi nauliza hivi hii iko serious kweli,au wanafakiri tunakula maneno ya siasa??
mawazo yenu Tafadhali.
Huu ni umeme mpango wa Kata kwahiyo matokeo unayotaka hutapata
 
Hii kitu ni mbaya sana. Shirika husika kauli mfukoni. Kama kuna siasa ndani basi mjue kuwa mnaoagiza hayo nyie ni viongozi by accident...furaha ya kiongozi anayeona watu wanateseka na kufurahi basi ujue huyo ni saddist...hivi utafurahiaje kondoo wa malisho yako kuliwa na fisi?
 
Back
Top Bottom