Baba Wawili 2012
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 413
- 335
Umeolewa
Then unatoa mimba ya mumeo?
Anajua hata kuhusu mzunguko wa siku ukoje?
Siku hizi wanaume mnatumia condom kwa wake zenu? Hongereni sana
Hakuna utakatifu wa ndoa hapa.....aiangiii akilini kutumia kondom kwa mkeo.......upendo unaimarika sana kama mume ataeshimu zile siku za hatari kwa mimba kwa mkewe.......