kachu snipper
Member
- Dec 22, 2013
- 76
- 7
Natumai mko wazima wa afya naomben mnijuze mkiki yakoje?
Maandarizi ya pirau na kira aina ya wari tunaenderea nayo njoo ture .
Hahahahahahah! Nimechekaje
"Rugha yetu nzuli"
Una spea ya mbavu?Hahahahahahah! Nimechekaje
"Rugha yetu nzuli"
Una spea ya mbavu?
Maandarizi ya pirau na kira aina ya wari tunaenderea nayo njoo ture .
Maandariz yarienda flesh, reo ni misosi na gambe kwa kwenda mbere.....kalibu sana.
Natumai mko wazima wa afya naomben mnijuze mkiki yakoje?
Sina, kama unazo niazime maana kira navyoenderea na haya maandarizi, kicheko kinazidi