Mzee Wa Rubisi
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,758
- 437
Jamani kuku kamaliza debe la mahindi,Niliaaza taratibu kumlushia mbegu za mahindi nilishutuka debe limekwisha ,hivyo hivyo kamaliza debe la karanga.Kuku huyu sasa kanenepa sana kapendeza sana na anavutikia kila kona anakopita.Kuku huyu kila inapofika siku ya kuliwa au kuchinjwa,utasikia kuku anaumwa tumbo,kuku ameshikwa na ungonjwa wa mafua.mala kuku anaendesha kila saaa.Kuku huyu utasikia akisema nipo mwezini, sikukuu hikifika hili aliwe kuku amekuwa anaruka kwa sababu ya mabawa yake.
Sasa waungwana na debe la mtama limefika nusu bado kuku ataki kuliwa,Tatito kubwa la kuku huyu kila asubuhi anapoamuka utasikia analalamika kuomba nimrushie mtama au nimpunguzie mtama.
Kuku huyu siku zinafika kuliwa kitoeo na kila zana zakumchinja zimeandaliwa,maji ya moto ya kumnyonyolea pia na grovis lakini kuku huyu anapotea mtaaa ataonekana jioni kuja kulala bandani kwake.?
Sasa kuku huyu ataliwa kubudu siku ikifika.
Baada ya kupata ushauri wa wadau nilisitisha kutoa mbegu kwa kuku huyo.
Wiki ikapita nikasikia kuku analalamika kudai mbegu kama alivyozoeya.
Nikazidisha ukimia,Kuku kaomba kuonana mami,nikatoa nje,kama kawaida akab nami sikukooa,
Kuku kumbe ni wakufungwa nilihisi ni wakienyeji anawezakujitafutia chakula wapi,
Kuku njaaa ikazidi,kaomba mwenye nimfaute na wapi anikute.
Nikagoma mbengu sitoe,wala sirushi,na sipigi.
Nilizoea kumpatia karanga ,mahindi,na mtama,nikabadiri nikamtupia ulezi akala kwa tamaaa ya kukosa mbengu,
Taratibu nilisha mwandalia theta kwa oparation, kuku akapatia hudumu takatifu.
Sasa hakuna mbegu tena kila siku kuku anataka ulezi,
Niwashukuru wote niliyotoa ushari
Ramadhan njema
Sasa waungwana na debe la mtama limefika nusu bado kuku ataki kuliwa,Tatito kubwa la kuku huyu kila asubuhi anapoamuka utasikia analalamika kuomba nimrushie mtama au nimpunguzie mtama.
Kuku huyu siku zinafika kuliwa kitoeo na kila zana zakumchinja zimeandaliwa,maji ya moto ya kumnyonyolea pia na grovis lakini kuku huyu anapotea mtaaa ataonekana jioni kuja kulala bandani kwake.?
Sasa kuku huyu ataliwa kubudu siku ikifika.
Baada ya kupata ushauri wa wadau nilisitisha kutoa mbegu kwa kuku huyo.
Wiki ikapita nikasikia kuku analalamika kudai mbegu kama alivyozoeya.
Nikazidisha ukimia,Kuku kaomba kuonana mami,nikatoa nje,kama kawaida akab nami sikukooa,
Kuku kumbe ni wakufungwa nilihisi ni wakienyeji anawezakujitafutia chakula wapi,
Kuku njaaa ikazidi,kaomba mwenye nimfaute na wapi anikute.
Nikagoma mbengu sitoe,wala sirushi,na sipigi.
Nilizoea kumpatia karanga ,mahindi,na mtama,nikabadiri nikamtupia ulezi akala kwa tamaaa ya kukosa mbengu,
Taratibu nilisha mwandalia theta kwa oparation, kuku akapatia hudumu takatifu.
Sasa hakuna mbegu tena kila siku kuku anataka ulezi,
Niwashukuru wote niliyotoa ushari
Ramadhan njema