kibovu
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 661
- 686
Igweeeeeeeeee,
Ndugu zangu kuna jamaaa angu mmoja kaliwa elfu 25000 na msichana alimuomba asuke ili waonane,
Msichana alitumiwa hio pesa alisuka baada ya kusuka jamaaa akampanga msichana huyu aje ili ale na mzigo na kumuahidi ahadi hewa kuwa akija atampa pesa ya matumizi kwani anatarajia kusafiri za kumsaidia huyo msichana kwani atakaaa two weeks, msichana akamjibu kuwa yuko period hivo asitafute lodge atafute sehem ingine to waongeee ili aachiwe na mkwanja mwingine.
Ndugu zangu jamaaa akapaona atapigwa hela tena akamwambia tutaonana nikirudi .
Jamaaa amekaaa kama siku 7 akamwambia msichana nimerudi nimekuletea zawadi msichana akawa anamjibu sitaki zawadi kwa nyodo badae msichana huyo akamwambia niache
Wakuuu jamaaa ananiuliza atumie mbinu gani amle au ampigie arudishe pesa zake
Ndugu zangu kuna jamaaa angu mmoja kaliwa elfu 25000 na msichana alimuomba asuke ili waonane,
Msichana alitumiwa hio pesa alisuka baada ya kusuka jamaaa akampanga msichana huyu aje ili ale na mzigo na kumuahidi ahadi hewa kuwa akija atampa pesa ya matumizi kwani anatarajia kusafiri za kumsaidia huyo msichana kwani atakaaa two weeks, msichana akamjibu kuwa yuko period hivo asitafute lodge atafute sehem ingine to waongeee ili aachiwe na mkwanja mwingine.
Ndugu zangu jamaaa akapaona atapigwa hela tena akamwambia tutaonana nikirudi .
Jamaaa amekaaa kama siku 7 akamwambia msichana nimerudi nimekuletea zawadi msichana akawa anamjibu sitaki zawadi kwa nyodo badae msichana huyo akamwambia niache
Wakuuu jamaaa ananiuliza atumie mbinu gani amle au ampigie arudishe pesa zake