cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 83,354
- 134,170
Kakuambia kabisa anaogopa ukimwi.Kwann usivae ndom tu mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kakuambia kabisa anaogopa ukimwi.Kwann usivae ndom tu mkuu.
Kwani huyo mgonjwa amesema kapata kwa shoga au mwanaume mwenzie? Au ukimwi ndo unapatikana kwa mashoga tyuuh?Shida ya wa Italiano wanapenda sana nyuma Hasa kwa wanaume wenzao, Hawajali Shoga wala Rijali ilimradi Ana Tundu tu.
Huko ndo alipolipatia tatizo.
Kati ya wadada 10 wakati wa kusex watakao uliza ndom ni wawili tu.Aliokwambia hatuogopi ni nani?
Ni wachache aisee wengi wanapenda kwa kisingizio kuwa ndom inawaumiza au kuwaletea allergy.Ukiona hawasisitizi tayari hawana uhakika na afya zao. Mwanamke anayejijua yupo salama hata ukivaa atashika ahakikishe ni kweli umevaa.
Kwani wewe una ukimwi? Mimi ninao ujue naongelea experience. Wewe unao?
Arudi akapigwe dawa kwao! Huko si hamnaga ngoma sikuhizi af kama aliamua kuwa malaya mbwa kwanini alipima “Dali Kimoko”??? Si angetulia tuKuna jamaa yangu m1 bwana yupo bongo mwaka wa pili huu ila kwa maisha aliyokuwa anaishi anayoish had sasa kiukwel nilijua tu ipo siku kitu kama hiki kingetokea hapa kachanganyikiwa week ya pili hii hata nje hatoki. Huyu jamaa ni muitaliano. Mzungu Og kabisa yaani
Kwa jinsi alivyokuwa na list ya wadada hapa mjini na Zanzibar Dah! Huyu jamaa kwa kuwala tu dada zetu hawa amewala vibaya mno na wanampenda kweli kweli wadada, siunajua waswahil wanavyochanganyikiwa na wazungu..sasa nahisi katika harakati hzo ameukwaa..yeye anasema hajui nan kampa ila mi nmemwambia atakua kautoa Zanzibar maana kule alikuwa anawacharaza vibaya mno.
Anatia huruma mwamba, analia tu, halafu bado umri mdogo tu 29 ila dah maisha haya yaani huyu jamaa ndo alikua the real definition ya malaya kuna story zingine anakuhadithia unabaki unashangaa zingine si tumeona kwenye porn mwamba hadi 4sum anapiga.
Kweli nimeamini ngwengwe asilimia kubwa watu wanaipata kwakua na multiple partners. Jamani ngoma ipo huyu mwamba ametokwa ma rush mwil mzima..kawa mwekundu dah, huruma kwakweli. Nyie wadada kuwen makini maana nyie hamuogopag ngoma nyie.
Kidimbwi keshachafua sanaaa yaani dah
Ni hataree sana aisee.Mkuu juzi tu hapa beki 3 wa jamaa yangu ni ana miaka 16 tu walichukua simu yake kuangalia ana chati na watu kama 7 na wote anawapanga kumbe na alipotoka huko baba mwenye nyumba alikuwa anakula mzigo alafu alikuwa ana kaambia kamfate alipo atakapa ela ya nauli.
Kali kuliko juzi hiyo jamaa akawa ana chati nako kwa namba tofauti ana kaambia mimi nakuonaga tu unakaa sehemu flani nakupenda nataka tuonane gesti flani,mara wanaona dogo anaoga anavaa ana jiandaa kuondoka wana muuliza anaenda wapi anasema anaenda kumsalimia shangazi yake....imagine miaka 16 tu.
Mbona jibu simple tuu...mwanamke anapogegedwa na ndom utamu upungua kwa asilimia 35 kulingana na tafiti zilizofanywa na mabeberuDah! Sijui kwanini
Mkuu unapigaje bila kukiss?Ngoma again?..
Mbona tunatishana wajameni?..
Anyway...RoughRider,kilainishi cha durex play,no kissing na no rough sex will keep me moving maana baadae nina game.
Ukinunua malaya pale sinza unaweza kumpiga french kiss?Mkuu unapigaje bila kukiss?
naomba simulizi mkuu..🙏Kumbuka yule mzungu Michael Oliver alichofanya kule Kenya.
Umekutana na Demu leo , umemtongoza , umepiga kavuYaani ukimwi alioushtukia wiki mbili umtoe rashes? Ni urongo
Hivi vipele vinakua mwili mzima?Umekutana na Demu leo , umemtongoza , umepiga kavu
Wiki mbili au Tatu zijazo unatokea na vipele vinavyowasha, ukatumia dawa mbalimbali lkn waaapi,... Vikaaa kisha vikaondoka vyenyeweee
Kama ulipiga Kavu, mtafute huyo demu chakwanza kabisa, Mpimishe yeye Ngoma.
Vipele hiv mara nyingi vinaweza kua kifuani, au usoni, au mikonon, au mapajan, na mara nyingine mabegani.Hivi vipele vinakua mwili mzima?
Dalili ya vipele kwa wiki tatu si inategemea mtu na mtu
Yeah. Malaya ni kuchomeka afu mwenyewe anaendelea na kazi.Ukinunua malaya pale sinza unaweza kumpiga french kiss?
Mimi nikuzamisha na kukojoa tu..kukiss ni mpaka nikuamini 100pc aisee..
Nishafanya ujinga mwingi sana nowdays nakuwa makini.
😋😋😋😅😅 Mwenzetu anakukwaza, vilainishi vipo ila nyuma si kutamu auKwani huyo mgonjwa amesema kapata kwa shoga au mwanaume mwenzie? Au ukimwi ndo unapatikana kwa mashoga tyuuh?
Sio kila jambo baya lazima ushoga uhusishwe khaah, condoms ba vilainishi vipo, sasa watu wanakwama wapi?