Jamaa yangu amepata maambuki ya Virusi vya UKIMWI, namuonea huruma. Inabidi arudi kwao Italy

Shida ya wa Italiano wanapenda sana nyuma Hasa kwa wanaume wenzao, Hawajali Shoga wala Rijali ilimradi Ana Tundu tu.
Huko ndo alipolipatia tatizo.
Kwani huyo mgonjwa amesema kapata kwa shoga au mwanaume mwenzie? Au ukimwi ndo unapatikana kwa mashoga tyuuh?

Sio kila jambo baya lazima ushoga uhusishwe khaah, condoms ba vilainishi vipo, sasa watu wanakwama wapi?
 
Kuna jamaa yangu m1 bwana yupo bongo mwaka wa pili huu ila kwa maisha aliyokuwa anaishi anayoish had sasa kiukwel nilijua tu ipo siku kitu kama hiki kingetokea hapa kachanganyikiwa week ya pili hii hata nje hatoki. Huyu jamaa ni muitaliano. Mzungu Og kabisa yaani

Kwa jinsi alivyokuwa na list ya wadada hapa mjini na Zanzibar Dah! Huyu jamaa kwa kuwala tu dada zetu hawa amewala vibaya mno na wanampenda kweli kweli wadada, siunajua waswahil wanavyochanganyikiwa na wazungu..sasa nahisi katika harakati hzo ameukwaa..yeye anasema hajui nan kampa ila mi nmemwambia atakua kautoa Zanzibar maana kule alikuwa anawacharaza vibaya mno.

Anatia huruma mwamba, analia tu, halafu bado umri mdogo tu 29 ila dah maisha haya yaani huyu jamaa ndo alikua the real definition ya malaya kuna story zingine anakuhadithia unabaki unashangaa zingine si tumeona kwenye porn mwamba hadi 4sum anapiga.

Kweli nimeamini ngwengwe asilimia kubwa watu wanaipata kwakua na multiple partners. Jamani ngoma ipo huyu mwamba ametokwa ma rush mwil mzima..kawa mwekundu dah, huruma kwakweli. Nyie wadada kuwen makini maana nyie hamuogopag ngoma nyie.

Kidimbwi keshachafua sanaaa yaani dah
Arudi akapigwe dawa kwao! Huko si hamnaga ngoma sikuhizi af kama aliamua kuwa malaya mbwa kwanini alipima “Dali Kimoko”??? Si angetulia tu
 
Mkuu juzi tu hapa beki 3 wa jamaa yangu ni ana miaka 16 tu walichukua simu yake kuangalia ana chati na watu kama 7 na wote anawapanga kumbe na alipotoka huko baba mwenye nyumba alikuwa anakula mzigo alafu alikuwa ana kaambia kamfate alipo atakapa ela ya nauli.

Kali kuliko juzi hiyo jamaa akawa ana chati nako kwa namba tofauti ana kaambia mimi nakuonaga tu unakaa sehemu flani nakupenda nataka tuonane gesti flani,mara wanaona dogo anaoga anavaa ana jiandaa kuondoka wana muuliza anaenda wapi anasema anaenda kumsalimia shangazi yake....imagine miaka 16 tu.
Ni hataree sana aisee.
 
Yaani ukimwi alioushtukia wiki mbili umtoe rashes? Ni urongo
Umekutana na Demu leo , umemtongoza , umepiga kavu


Wiki mbili au Tatu zijazo unatokea na vipele vinavyowasha, ukatumia dawa mbalimbali lkn waaapi,... Vikaaa kisha vikaondoka vyenyeweee



Kama ulipiga Kavu, mtafute huyo demu chakwanza kabisa, Mpimishe yeye Ngoma.
 
Umekutana na Demu leo , umemtongoza , umepiga kavu


Wiki mbili au Tatu zijazo unatokea na vipele vinavyowasha, ukatumia dawa mbalimbali lkn waaapi,... Vikaaa kisha vikaondoka vyenyeweee



Kama ulipiga Kavu, mtafute huyo demu chakwanza kabisa, Mpimishe yeye Ngoma.
Hivi vipele vinakua mwili mzima?

Dalili ya vipele kwa wiki tatu si inategemea mtu na mtu
 
Hivi vipele vinakua mwili mzima?

Dalili ya vipele kwa wiki tatu si inategemea mtu na mtu
Vipele hiv mara nyingi vinaweza kua kifuani, au usoni, au mikonon, au mapajan, na mara nyingine mabegani.


Sio vipele tu, bali dalili za awali kabisaa kwa ujumla wake hutegemea mtu na mtu, wewe unaweza patwa na Mafua makali, kichwa , maumivu ya koon, vipele .
Mwingine akapata Kichwa, homa, Matatizo ya tumbo yanayoambatana na kuharisha .

Dalili hizi huja nakuondoka zenyewe.... Mtu anaweza kubakia kua na mitoki tu.
 
Ukinunua malaya pale sinza unaweza kumpiga french kiss?

Mimi nikuzamisha na kukojoa tu..kukiss ni mpaka nikuamini 100pc aisee..

Nishafanya ujinga mwingi sana nowdays nakuwa makini.
Yeah. Malaya ni kuchomeka afu mwenyewe anaendelea na kazi.
 
Aisee ukweli ni kuwa ukimwi. Nakumbuka kipindi nipo mwaka wa kwanza chuo kwenye practical session ya physiology ilikuwa inahusu damu. So tulipangwa in pair kila mtu amtoe damu mwenzake. Mimi nilipangwa na manzi mmoja, yeye alianza akanitoa damu vizuri tu na mimi hivyohivyo sasa sijui kilitokea nini nikajichoma na sindano yake.

Mimi nikachukulia easy tu ila yeye alishtuka sana. Akauliza mara mbilimbili Giftedman umejichoma na sindano yangu sio yako na bado sikushtuka tuliendelea na practical mpaka mwisho mimi nikasepa.

Mida ya jioni napigiwa na namba mpya kumbe ni yule manzi nilikuwa sina namba ukaniambia tukutane tusaidiane kuandika ripoti. Nikamwambia tukutane canteen kuna kacanteen flani huwa akinaga watu so watu wengi ambao hatupendi library na class tunakageuza kachimbo.

Basi akaja ile mida ambayo tulikubaliana na kweli alikuja na summary yake. Kweli tulidiscuss sasa baadae akasema giftedman kuna kitu nataka nikwambie ila nakuomba sana sana usimwambie mtu. Nikamwambia wewe niambie tu haina shida.

Sio ndio akaniambia kuwa yeye ni muathirika na hataweza kujisamehe kama akikaa kimya na mimi nikaupata. Kiukweli nilidata hapo sijui PEP ndio nini ila yeye alikuwa anajua. Na alisema niende naye hospitali flani kesho. Basi kesho asubuhi tucancel vipindi nikaenda naye hiyo hospitali tukajielezea nikapimwa nikapewa PEP.

Nilimshukuru sana na kumuahidi nitamtunzia siri na nimefanya hivyo hadi sasa. Ila ukweli vidonge vya PEP sio mchezo aisee ilikuwa ni mara ya kwanza viliniendesha sana
Huyu manzi ni rafiki yangu mkubwa hadi sasa.
 
Kwani huyo mgonjwa amesema kapata kwa shoga au mwanaume mwenzie? Au ukimwi ndo unapatikana kwa mashoga tyuuh?
Sio kila jambo baya lazima ushoga uhusishwe khaah, condoms ba vilainishi vipo, sasa watu wanakwama wapi?
😋😋😋😅😅 Mwenzetu anakukwaza, vilainishi vipo ila nyuma si kutamu au
 
26 Reactions
Reply
Back
Top Bottom