B R A C E L E T
JF-Expert Member
- Nov 11, 2018
- 2,357
- 4,379
Pole sana.Sure.
The best way ni kua unafanya checkup kila baada ya muda na kuongeza umakini.
Mimi sasa hivi niko makini kuliko chochote kwenye haya mambo maana hii ni second time natafuna watu wenye ukimwi halafu nanusurika kwa kumeza PEP. Nimekoma.
Baada ya kuwapima wanahali gani mpka sasa?
Sishauri check ups za mara ila nashauri matumizi ya kinga kwa kila tendo na kila round. Itakupa Kujiamini every now and then umejihakikishia uzima wako.
Pia Sishauri kumpima mtu kwani unaweza kumpima kumbe kaukwaa siku za karibuni au anafata taratibu sahihi za matumizi ya dawa au ukakosea upimaji na error zingine nyingi.
Tutumie kinga kwa kila tendo kwanza inafaida kubwa hasa delayed ejaculation.