Jamaa yangu amepata maambuki ya Virusi vya UKIMWI, namuonea huruma. Inabidi arudi kwao Italy

Napoleone

JF-Expert Member
Apr 11, 2012
10,086
15,958
Kuna jamaa yangu m1 bwana yupo bongo mwaka wa pili huu ila kwa maisha aliyokuwa anaishi anayoish had sasa kiukwel nilijua tu ipo siku kitu kama hiki kingetokea hapa kachanganyikiwa week ya pili hii hata nje hatoki. Huyu jamaa ni muitaliano. Mzungu Og kabisa yaani

Kwa jinsi alivyokuwa na list ya wadada hapa mjini na Zanzibar Dah! Huyu jamaa kwa kuwala tu dada zetu hawa amewala vibaya mno na wanampenda kweli kweli wadada, siunajua waswahil wanavyochanganyikiwa na wazungu..sasa nahisi katika harakati hzo ameukwaa..yeye anasema hajui nan kampa ila mi nmemwambia atakua kautoa Zanzibar maana kule alikuwa anawacharaza vibaya mno.

Anatia huruma mwamba, analia tu, halafu bado umri mdogo tu 29 ila dah maisha haya yaani huyu jamaa ndo alikua the real definition ya malaya kuna story zingine anakuhadithia unabaki unashangaa zingine si tumeona kwenye porn mwamba hadi 4sum anapiga.

Kweli nimeamini ngwengwe asilimia kubwa watu wanaipata kwakua na multiple partners. Jamani ngoma ipo huyu mwamba ametokwa ma rush mwil mzima..kawa mwekundu dah, huruma kwakweli. Nyie wadada kuwen makini maana nyie hamuogopag ngoma nyie.

Kidimbwi keshachafua sanaaa yaani dah
 
26 Reactions
Reply
Back
Top Bottom