The Butcher
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 347
- 490
Then akishaupata a afanyaje? Mie naona the best thing hapa ni Kupotezea tu.. Maisha yaende..nenda huko mahakaman ukapate ukweli moyo wako utulie, huyo mkeo anatumia ile janja ya mwizi hata akikutwa na alichoiba anakana mpaka dakika ya mwisho asijulikane kama kaiba, sasa hadmtu anakueleza ametembea na mkeo nn tena unataka?? wanawake wengine bwana sjui mnawaokotaga wapi.
Chagueni vitu vya kuwaumiza