only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Jamaa mmoja alihudhuria msiba wa jirani na rafiki yake mpendwa aliyefiwa na baba yake, na baada ya kufika akakuta chakula kimeisha, mazungumzo yake na mfiwa yalikuwa hivi:
Jamaa: Yani jirani upendo umepoa sana, umeshindwa kuniwekea hata wali kidogo?
Mfiwa: Samahani jirani ni msongo na kupitiwa kwasababu ya maumivu ya kumpoteza ndugu yangu.
Jamaa: ok!! Hamna nouma hata mimi nitafiwa tu, tutaona!!!
Jamaa: Yani jirani upendo umepoa sana, umeshindwa kuniwekea hata wali kidogo?
Mfiwa: Samahani jirani ni msongo na kupitiwa kwasababu ya maumivu ya kumpoteza ndugu yangu.
Jamaa: ok!! Hamna nouma hata mimi nitafiwa tu, tutaona!!!