Kamaka
JF-Expert Member
- Jun 7, 2010
- 563
- 33
Jamaa mmoja alifanikiwa kumkamata kibaka nyumbani kwake usiku wa manane
akampeleka kituo cha polisi,wakati alipomaliza kuandika maelezo, alimuomba askari wa zamu amruhusu ili aweze kumuhoji yule kibaka,
askari akakataa huku akidai jamaa atapata nafasi hiyo mahakamani
jamaa akamkata kauli askari huku akisema
" hapana hapana, nilitaka tu kujua huyu kibaka aliwezaje kuingia ndani bila ya kumuamsha mke wangu !!!!!!!!!!!!..kwa sababu nimejaribu hivyo kwa miaka nane sasa bila mafanikio""""""""
akampeleka kituo cha polisi,wakati alipomaliza kuandika maelezo, alimuomba askari wa zamu amruhusu ili aweze kumuhoji yule kibaka,
askari akakataa huku akidai jamaa atapata nafasi hiyo mahakamani
jamaa akamkata kauli askari huku akisema
" hapana hapana, nilitaka tu kujua huyu kibaka aliwezaje kuingia ndani bila ya kumuamsha mke wangu !!!!!!!!!!!!..kwa sababu nimejaribu hivyo kwa miaka nane sasa bila mafanikio""""""""