44mg44
JF-Expert Member
- Jun 16, 2019
- 2,135
- 2,139
Salaam!
Za mwizi ni 40, Kama wanenavyo wahenga!! Inshu iko hiv, juz nilikuwa nachat na manz kupanga maeneo mhim ya kwenda kuunganisha viungo mhim katka mwil,Sasa baadae mme wake zile sms kazkuta,akambana mkewe akasema kila kitu, kilichofata jamaa kaenda kushtaki kwa viongoz kuwa tayar kanikamata ugoni,viongoz leo wametuma makamanda kuja kunikamata ili nikalipe fain ya ugoni,na Sana Sana huwa wanalipa ng'ombe mmoja, na mim kwa Sasa nimejificha sehem.
•Wadau naomba mnipe msaada wa mawazo maana nataka nikatae ng' ombe kirahis rahis tu iende inaniuma Sana wadau lakin je ntarukaje hii kess?
•Mwenye uzoefu uliewah kukutana na hii kes njoo unipe mbinu za kuruka
Za mwizi ni 40, Kama wanenavyo wahenga!! Inshu iko hiv, juz nilikuwa nachat na manz kupanga maeneo mhim ya kwenda kuunganisha viungo mhim katka mwil,Sasa baadae mme wake zile sms kazkuta,akambana mkewe akasema kila kitu, kilichofata jamaa kaenda kushtaki kwa viongoz kuwa tayar kanikamata ugoni,viongoz leo wametuma makamanda kuja kunikamata ili nikalipe fain ya ugoni,na Sana Sana huwa wanalipa ng'ombe mmoja, na mim kwa Sasa nimejificha sehem.
•Wadau naomba mnipe msaada wa mawazo maana nataka nikatae ng' ombe kirahis rahis tu iende inaniuma Sana wadau lakin je ntarukaje hii kess?
•Mwenye uzoefu uliewah kukutana na hii kes njoo unipe mbinu za kuruka