LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,133
- 11,124
Mkiambiwa wanawake sio watu wamchezo mchezo kubalini tu, kuna uzi nilishaweka hapa nikiwaambia wanaume pimeni DNA mkihisi mna wasiwasi viumbe mnavyovilea sio vyenu msije mkaja kulia, wanawake wamekuwa wahuni sana sasa hivi unakuta anachukua hela ya matumizi kwa wanaume zaidi ya wawili wote wakijua mtoto ni wao
Kuna jamaa huku Temeke kapagawa baada ya kuilea mimba vizuri tu hadi mtoto kazaliwa na kufikisha miaka miwili , mwanamke kambadilikia na kutokomea kwao akamjulisha kwenye sim tu kuwa kaamua kuaza maisha yake na mtoto aliyekuwa analea sio wa kwake hivyo ampotezee
Jamaa kazimia na kuchanganyikiwa imebidi ndugu wamtulize na kumpa ushauri maana jamaa ni kama alikuwa anataka kujiuwa kabisa
Ila kwa kweli niwashauri tu wanaume tena mkiona mpo na wanawake wasioeleweka vaeni condom tu jamani acheni michezo ya kuruka kavukavu , hata ambao mna wanawake ambao mnzani wanaeleweka kuweni makini sana mkiambiwa watu wanaelea watoto ambao sio wao kubalini tu, wanawake wanachanganya wanaume kwa kasi ya 4G , akipata mimba anapeleka kwa mwanaume mwenye pesa au kwa wanaume wawili anakula pesa kote
Kuna jamaa huku Temeke kapagawa baada ya kuilea mimba vizuri tu hadi mtoto kazaliwa na kufikisha miaka miwili , mwanamke kambadilikia na kutokomea kwao akamjulisha kwenye sim tu kuwa kaamua kuaza maisha yake na mtoto aliyekuwa analea sio wa kwake hivyo ampotezee
Jamaa kazimia na kuchanganyikiwa imebidi ndugu wamtulize na kumpa ushauri maana jamaa ni kama alikuwa anataka kujiuwa kabisa
Ila kwa kweli niwashauri tu wanaume tena mkiona mpo na wanawake wasioeleweka vaeni condom tu jamani acheni michezo ya kuruka kavukavu , hata ambao mna wanawake ambao mnzani wanaeleweka kuweni makini sana mkiambiwa watu wanaelea watoto ambao sio wao kubalini tu, wanawake wanachanganya wanaume kwa kasi ya 4G , akipata mimba anapeleka kwa mwanaume mwenye pesa au kwa wanaume wawili anakula pesa kote