real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,287
Alivamia shule ya msingi na kumkumbatia mwalimu kama anataka kufanya naye mapenzi, walimu walipiga kelele ila hakuna mwananchi aliyekuja kuwaokoa, ila walimpiga fimbo na kumfungia chooni, huko chooni akaharibu vitu
maafisa wa serikali ya mtaa waliitwa na wakamchukua
maafisa wa serikali ya mtaa waliitwa na wakamchukua