Mla Mbivu
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 224
- 48
Wakuu kuna jamaa kwa muda mrefu kweli amekuwa akimwaga matusi kwa j.k kwa style ya kuhubiri, utasikia kikwete kichaa, kikwete ni joka, kikwete mpumbavu, hili joka mungu ataliondoa.
Kwa wanaopita posta mpya kuanzia saa 11 jioni watakuwa wanamfahamu huyu jamaa.
WANAOMFAHAMU HUYU JAMAA KITAMBO WANASEMA KIPINDI CHA NYUMA ALIKUWA HAPO HAPO POSTA, LAKINI AKIMUANDAMA SHEHE YAHYA NA KUMSEMA ILE MBAYA.SASA BAADA YA YAHYA KUFA NDO KAANZA KUMSHAMBULIA KIKWETE.
UPDATE:
Watu wengi wanadhani namzungumzia yule mzee anayepiga ngoma.
Wala sio yule, anayemtukana J.K ni mwingine, na ni kijana kabsaaaa.
Kwa wanaopita posta mpya kuanzia saa 11 jioni watakuwa wanamfahamu huyu jamaa.
WANAOMFAHAMU HUYU JAMAA KITAMBO WANASEMA KIPINDI CHA NYUMA ALIKUWA HAPO HAPO POSTA, LAKINI AKIMUANDAMA SHEHE YAHYA NA KUMSEMA ILE MBAYA.SASA BAADA YA YAHYA KUFA NDO KAANZA KUMSHAMBULIA KIKWETE.
UPDATE:
Watu wengi wanadhani namzungumzia yule mzee anayepiga ngoma.
Wala sio yule, anayemtukana J.K ni mwingine, na ni kijana kabsaaaa.