Jamaa anayemtukana kikwete hapa posta mpya...

Mla Mbivu

JF-Expert Member
Nov 15, 2010
224
48
Wakuu kuna jamaa kwa muda mrefu kweli amekuwa akimwaga matusi kwa j.k kwa style ya kuhubiri, utasikia kikwete kichaa, kikwete ni joka, kikwete mpumbavu, hili joka mungu ataliondoa.
Kwa wanaopita posta mpya kuanzia saa 11 jioni watakuwa wanamfahamu huyu jamaa.

WANAOMFAHAMU HUYU JAMAA KITAMBO WANASEMA KIPINDI CHA NYUMA ALIKUWA HAPO HAPO POSTA, LAKINI AKIMUANDAMA SHEHE YAHYA NA KUMSEMA ILE MBAYA.SASA BAADA YA YAHYA KUFA NDO KAANZA KUMSHAMBULIA KIKWETE.

UPDATE:
Watu wengi wanadhani namzungumzia yule mzee anayepiga ngoma.
Wala sio yule, anayemtukana J.K ni mwingine, na ni kijana kabsaaaa.
 
Acha ayaseme ingawaje nashauri yachukuliwe kama maoni yake binafsi na si ya watanzania wote
 
kwa hiyo..!!

embu endeleza ka research kako ka kusikiliza Kila anayeongea anasemaje.. embu nipe taarifa eti kuna mtu anamsema baby wangu huko??
 
Wakuu kuna jamaa kwa muda mrefu kweli amekuwa akimwaga matusi kwa j.k kwa style ya kuhubiri, utasikia kikwete kichaa, kikwete ni joka, kikwete mpumbavu, hili joka mungu ataliondoa.
Kwa wanaopita posta mpya kuanzia saa 11 jioni watakuwa wanamfahamu huyu jamaa.

USALAMA WA TAIFA HUYO..! Neng'eneka unaswe..!!!
 
mhhhhhhhhhhhhhh


Wakuu kuna jamaa kwa muda mrefu kweli amekuwa akimwaga matusi kwa j.k kwa style ya kuhubiri, utasikia kikwete kichaa, kikwete ni joka, kikwete mpumbavu, hili joka mungu ataliondoa.
Kwa wanaopita posta mpya kuanzia saa 11 jioni watakuwa wanamfahamu huyu jamaa.
 
Wakuu kuna jamaa kwa muda mrefu kweli amekuwa akimwaga matusi kwa j.k kwa style ya kuhubiri, utasikia kikwete kichaa, kikwete ni joka, kikwete mpumbavu, hili joka mungu ataliondoa.
Kwa wanaopita posta mpya kuanzia saa 11 jioni watakuwa wanamfahamu huyu jamaa.

Inapendeza na kufariji kama wahubiri wa neno la Mungu wanaungana nasi, Mzee wa Upako alisha tuhubiria yake.
Asante mhubiri wa Posta Mpya.
 
mi ninacho mpendea ni utalaam wake wa kupiga ngoma.nenda pale ijumaa jioni kuanzia saa 11.usafiri ukiwa mgumu huwa ananiliwaza kwa utalaam wake wa kupiga ngoma.furrrruuuu...burdan.mia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom