BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,002
Dhambi za madeni hamna tofauti na uhujumu uchumi.
Nimemsikia mchezaji wetu leo golikipa akiomba radhi.
Alienimaliza na meneja wake bana jama amemaliza mkataba mpaka sasa awajakaa.Nae wanazingua doh.
Kwanza niombe yanga tuachame na laana za.Madeni jamani tuchoke kudaiwa kabisa kila siku wanafamilia hawa jamaa.
Tumsamehe kunamengi yanachangia matukio uwanjani.
Tumlipe haki zake
Nimemsikia mchezaji wetu leo golikipa akiomba radhi.
Alienimaliza na meneja wake bana jama amemaliza mkataba mpaka sasa awajakaa.Nae wanazingua doh.
Kwanza niombe yanga tuachame na laana za.Madeni jamani tuchoke kudaiwa kabisa kila siku wanafamilia hawa jamaa.
Tumsamehe kunamengi yanachangia matukio uwanjani.
Tumlipe haki zake