EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,091
- Thread starter
- #41
Mie nawachukia sana Wanaume ambao wanatumia njia mkato ya kumaliza matatizo na wake zao maGF kwa vipigo ambavyo wengine hupata hata majeraha, vilema au hata kufa. Ni kitu ambacho huwa kinanisikitisha sana na bahati mbaya Serikali bado haijaweka nguvu za kutosha katika kupambana na hawa waonevu.
Hii ina uhusiano na serikali kweli?