Jamaa 'anasana' na shemeji yake wakifanya mapenzi

Kilichonistua ni jinsi 'dawa' ilivyoweza kufanya kazi na jinsi mganga alivoweza kutatua 'tatizo', sijui hapa tuseme 'ya Mungu mengi' au 'ya shetani mengi'!
 
Kuna mzee aliwahi kuniambia,ukienda kumla mke wa mtu na unahisi mume wake atakua kamzindika

Chukua chuma(nondo),mtangulize mwanamke aingie ndani,we ukitaka kuingia ndani kitangulize hicho chuma

Kama amezindikwa bhasi chuma kitakatika na utakua umeua zindiko,ruhusa kujilia mzigo utakavyo

Sasa sijui ni fix mana wazee nao kwa fix,duuuuuuuuuu!!!

NB:Mke wa mtu ni hatari kwa Afya yako
 
Kuna mzee aliwahi kuniambia,ukienda kumla mke wa mtu na unahisi mume wake atakua kamzindika

Chukua chuma(nondo),mtangulize mwanamke aingie ndani,we ukitaka kuingia ndani kitangulize hicho chuma

Kama amezindikwa bhasi chuma kitakatika na utakua umeua zindiko,ruhusa kujilia mzigo utakavyo

Sasa sijui ni fix mana wazee nao kwa fix,duuuuuuuuuu!!!

NB:Mke wa mtu ni hatari kwa Afya yako
Ni Kweli mkuu
 
Back
Top Bottom