Jamaa amuadhibu bosi aliyekuwa akitoka na mke wake kwa staili hii baada ya kumshindwa mkewe

real G

JF-Expert Member
Feb 7, 2013
5,227
5,287
Huko Kenya baada ya kujua mkewe anatembea na bosi wake, jamaa alimuonya mkewe lakini mke hakusikia. Baada ya kushindwa akabiliane vipi na bosi huyo aliamua kuvizia gari yake na kuandika maneno LEAVE MY WOMAN ALONE

===============================================
Huko nchini Kenya jamaa mmoja aliyekuwa na uhusiano wa kimapenzi na mfanyakazi wake ambaye ni mke wa mtu ameadhibiwa kwa style ya aina yake.

Inaelezwa kuwa mwanamke huyo aliyekuwa akitembea na bosi wake alishtukiwa na mumewe na kuonywa lakini hakusikia.

Kilichofuata ni mumewe kuvizia gari la bosi huyo na kuliandika kwa maandishi makubwa ya rangi nyeupe maneno yasemayo ‘Achana na mke wangu’.

Hii imekaaje?

Chanzo : EATV

18813894_1953208044693604_2051095249238908219_n.png
 
Angeegesha misumali kwenye kila tairi ya gari ili jamaa huyo anaeiba mke wake kwa mara ya kwanza atembee
 
Huko nchini Kenya jamaa mmoja aliyekuwa na uhusiano wa kimapenzi na mfanyakazi wake ambaye ni mke wa mtu ameadhibiwa kwa style ya aina yake.

Inaelezwa kuwa mwanamke huyo aliyekuwa akitembea na bosi wake alishtukiwa na mumewe na kuonywa lakini hakusikia.

Kilichofuata ni mumewe kuvizia gari la bosi huyo na kuliandika kwa maandishi makubwa ya rangi nyeupe maneno yasemayo ‘Achana na mke wangu’.

Hii imekaaje?

Chanzo : EATV

61d5fbef6ff2a1492d51b0ca906482f3.jpg
 
Huu ni udhaifu mkubwa sana na ni udhaifu wa hovyo kabisa...

Kwanza ni kitu gani kinakufanya uone kwamba huyo mwanamke anamaana sana hadi uombe aachwe wakati una maamuzi ya kuachana naye kama hutaki avue nguo huko nje?

Mwanamke ambaye unalala naye bila nguo kitandani unashindwa kumueleza kuwa hutaki tabia yake hadi unaenda kufanya ujinga mkubwa namna hii? Yaani ana nini hadi uhangaike hivyo kuomba uachiwe wewe tu?

Kama anakukera si unamuacha tu na unatafuta mwingine? Mbona wanawake wapo wengi sana?
 
Huu ni udhaifu mkubwa sana na ni udhaifu wa hovyo kabisa...

Kwanza ni kitu gani kinakufanya uone kwamba huyo mwanamke anamaana sana hadi uombe aachwe wakati una maamuzi ya kuachana naye kama hutaki avue nguo huko nje?

Mwanamke ambaye unalala naye bila nguo kitandani unashindwa kumueleza kuwa hutaki tabia yake hadi unaenda kufanya ujinga mkubwa namna hii? Yaani ana nini hadi uhangaike hivyo kuomba uachiwe wewe tu?

Kama anakukera si unamuacha tu na unatafuta mwingine? Mbona wanawake wapo wengi sana?
Huyo atakuwa alikuwa anaziangalia mali za mume mwenzake kwa jicho la husuda tu...ukute alichofanya hapo ni ile style ya "ukimwaga ugali na namwaga mboga aka tukose wote".....hapo ameshamwacha mkewe siku nyingi ila anafanya uharibu kwa kuandika gari angalau na yeye aonekane kachukua hatua though alichofanya nae ni ujinga flani hivi
 
Kenya hakuna mafundi rangi? Na nikitoka hapo naenda kugonga tena, safari hii nasimamia mpk button inatoa harufu ya kuungua kulipizia kuchafuliwa gari langu
 
Huu ni udhaifu mkubwa sana na ni udhaifu wa hovyo kabisa...

Kwanza ni kitu gani kinakufanya uone kwamba huyo mwanamke anamaana sana hadi uombe aachwe wakati una maamuzi ya kuachana naye kama hutaki avue nguo huko nje?

Mwanamke ambaye unalala naye bila nguo kitandani unashindwa kumueleza kuwa hutaki tabia yake hadi unaenda kufanya ujinga mkubwa namna hii? Yaani ana nini hadi uhangaike hivyo kuomba uachiwe wewe tu?

Kama anakukera si unamuacha tu na unatafuta mwingine? Mbona wanawake wapo wengi sana?
Yaani niwe nomeshindwa?kwani kakwambia hampendi ?anamtaka demu wake pampja na hizo kasoro zake za kugegedwa ovyo ana fight kistaarab ,isitoshe ving'ang'anizi kama hivi baadae hufanya kitu mbaya sana kwa wezi wao kama jamaa nae akiendelea kubanjua tu!
 
Yaani niwe nomeshindwa?kwani kakwambia hampendi ?anamtaka demu wake pampja na hizo kasoro zake za kugegedwa ovyo ana fight kistaarab ,isitoshe ving'ang'anizi kama hivi baadae hufanya kitu mbaya sana kwa wezi wao kama jamaa nae akiendelea kubanjua tu!
Unajua maana ya "kumtaka mwanamke na kasoro zake"? Unamtakaje na kasoro zake halafu unakimbizana na wanaomtafuta?

Unakuwa unamtaka na hizo kasoro zake kweli?

Kitendo cha kutokuhangaika na mhusika unakwenda kuhangaika na mtu ambaye amepeleka maombi na akakubaliwa ni ujinga bado.Wewe deal na mwanamke wako achana na mtu ambaye ameomba na akapewa kiroho safi kabisa.Kwani wakati anamkubalia na kwenda kutoa nguo zote akabakikama alivyozaliwa alikuwa amekusahau?

Huyu jamaa aache ujinga amface mwanamke wake aachane na wale walioomba na kupewa kama yeye alivyoomba....
 
Huyo atakuwa alikuwa anaziangalia mali za mume mwenzake kwa jicho la husuda tu...ukute alichofanya hapo ni ile style ya "ukimwaga ugali na namwaga mboga aka tukose wote".....hapo ameshamwacha mkewe siku nyingi ila anafanya uharibu kwa kuandika gari angalau na yeye aonekane kachukua hatua though alichofanya nae ni ujinga flani hivi
Bado ni ujinga tu....

Kwani hapo ndiyo atakuwa amefanya kipi cha maana?
 
Huu ni udhaifu mkubwa sana na ni udhaifu wa hovyo kabisa...

Kwanza ni kitu gani kinakufanya uone kwamba huyo mwanamke anamaana sana hadi uombe aachwe wakati una maamuzi ya kuachana naye kama hutaki avue nguo huko nje?

Mwanamke ambaye unalala naye bila nguo kitandani unashindwa kumueleza kuwa hutaki tabia yake hadi unaenda kufanya ujinga mkubwa namna hii? Yaani ana nini hadi uhangaike hivyo kuomba uachiwe wewe tu?

Kama anakukera si unamuacha tu na unatafuta mwingine? Mbona wanawake wapo wengi sana?

Aliyeandika inawezekana ni mke wa boss, sema hakutaka mumewe ajue , akaamua kuandika hivyo lengo ni kumzalilisha boss.
Thinking outside the box...
 
Aliyeandika inawezekana ni mke wa boss, sema hakutaka mumewe ajue , akaamua kuandika hivyo lengo ni kumzalilisha boss.
Thinking outside the box...
Sasa kashindwa kumueleza tu hadi afanye hivi?
 
Bado ni ujinga tu....

Kwani hapo ndiyo atakuwa amefanya kipi cha maana?
Of course ni ujinga bado ila kuna watu wana akili za hivyo wakati hapo somo la kujifunza ni kwanini amechepuka kwa kuniacha (self assessment) ili iwe fundisho akipata demu mwingine yasitokee
 
Back
Top Bottom