Jamaa aliyezuia pdproxy pale voda apandishwa cheo

@njuma wa mavoko rudi huku hawakujui ili Dogo ashushwe Cheo fasta Hahahaaa
 
mkuu uko serious? maana sisi tunalalamika kuwa tangu jamaa wame filter access hakuna tena connection with 0 balance.
Kama kwako bado ipo please help me out
 
IT mmoja aliyezuia pdproxy kutumika kwenye voda amepandishwa cheo kwa kuzibiti uhalifu

Noobs wengine bana! Jifunze kuandika bana, hapa siyo fb! FYI watu bado wanakula masiha kwa voda kama kawaida, pdproxy is unastopable...haya kamwambia tena huyo mumeo azibe na huo mwanya sijui anaanzia wapi, na this time nyie wenye madomo mapana hakuna kuwapa kitu, hii inaitwa kutafuna kimyakimya!
 
Noobs wengine bana! Jifunze kuandika bana, hapa siyo fb! FYI watu bado wanakula masiha kwa voda kama kawaida, pdproxy is unastopable...haya kamwambia tena huyo mumeo azibe na huo mwanya sijui anaanzia wapi, na this time nyie wenye madomo mapana hakuna kuwapa kitu, hii inaitwa kutafuna kimyakimya!

duh na ww imekukela mkuu
 
Hakuna cha IT na kila k2 2nao wataalamu humu huyo atkuwa kabahatisha we subr na wa kubali wa2 wa THE GREAT THINKER
 
Back
Top Bottom