Pd proxy ni programu ambayo wajanja tunatumia kuunga internet yenye kasi
Tunatumia au tulikua tunatumia?
Pd proxy ni programu ambayo wajanja tunatumia kuunga internet yenye kasi
IT mmoja aliyezuia pdproxy kutumika kwenye voda amepandishwa cheo kwa kuzibiti uhalifu
Noobs wengine bana! Jifunze kuandika bana, hapa siyo fb! FYI watu bado wanakula masiha kwa voda kama kawaida, pdproxy is unastopable...haya kamwambia tena huyo mumeo azibe na huo mwanya sijui anaanzia wapi, na this time nyie wenye madomo mapana hakuna kuwapa kitu, hii inaitwa kutafuna kimyakimya!