Jamaa akutwa na n.domu ikiwa na mchuzi. Mkewe anataka kuondoka!

Duh! Mazee unajua ile ni zaidi ya red handed! Yani mie nimefunuliwa jamaa kalala chakari, nakutana na abdala kichwa yupo kwenye mfuko wa mchuzi na mchuzi ndani, kaka unajua ni ngumu kuitetea? Ndo maana nimewaachia muda watafakari wote wawili kama wanahitaji kuishi kama mke na mume.

kama hali ndiyo hii, inabidi jamaa aingizwe kwenye guiness book of records kwa uzembe...
 
Na wanaume mlivyo wash..enzi nyie, hapo ukute jamaa yako hajutii kuisaliti ndoa yake.......bali anajuta kwa nini amekamatwa kizembe!!!

Haya mama, wanaume tumekusikia including aliyekuzaa kuwa sisi ni washenzi! Ningefurahi kama ungekuwa umemuona mwanaume anaejutia matendo yake wakati nyumbani mkewe kaondoka. Usichukulie jambo kirahisi namna hiyo, wanaume tupo wa aina mbalimbali.
 
kama hali ndiyo hii, inabidi jamaa aingizwe kwenye guiness book of records kwa uzembe...

Huyu sio mzoefu wa kucheat ndo maana hawezi kujipanga maana wataalamu wenyewe huwa makini hakamatwi hata siku moja.
 
Haya mama, wanaume tumekusikia including aliyekuzaa kuwa sisi ni washenzi! Ningefurahi kama ungekuwa umemuona mwanaume anaejutia matendo yake wakati nyumbani mkewe kaondoka. Usichukulie jambo kirahisi namna hiyo, wanaume tupo wa aina mbalimbali.

Mfano mzuri ni hapo mnapoteteana, eti makosa ya kiufundi........mara ooh sio mzoefu eti wazoefu huwa hawakamatwi! Ni sifa uuuh??
 
Mfano mzuri ni hapo mnapoteteana, eti makosa ya kiufundi........mara ooh sio mzoefu eti wazoefu huwa hawakamatwi! Ni sifa uuuh??

Mh! Mwenzangu nadhani kuna kitu zaidi ya hili unaloongea. Hebu tuambie, why do you hate men like that? Nini kimekusibu mama? Huwezi kujua ya wanaume mpaka nawe uwe mwanaume.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom