Kwa mara ya mwisho niliwaskia wanasema wanasimika mitambo kwa kila mkoa hiv wamefikia wap na kwa wale waliokwishanunua vin'gamuzi bei gani jama mi nipo iringa.
Hv kwan huko tayar imefka... Coz maeneo ya makambako wanapata startimes but wanatumia mitambo ya mbeyaaa!